• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Uzinduzi wa UMITASHUMTA Wilaya ya Ilala wafana

Tarehe iliyowekwa: May 10th, 2021

Na: Hashim Jumbe

UZINDUZI wa Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) ngazi ya Wilaya umefanyika siku ya leo, tarehe 10 Mei, 2021 kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuzindua mashindano yake katika viwanja vya Magereza vilivyopo Ukonga, huku mgeni rasmi akiwa Katibu Tawala Wilaya ya Ilala, Bi. Charangwa Makwiro aliyemuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ilala.

Mashindano hayo yanashirikisha timu kutoka kwenye Klasta Nne (4) za kimasomo ambazo ni Chanika, Ukonga, Kimanga na Gerezani, yatafanyika kwa Siku Tatu (3) katika viwanja hivyo kuanzia leo.

"Tutakuwa hapa kwa muda wa Siku Tatu (3) sasa hivi tuna wachezaji 480 kutoka Klasta zetu Nne (4) baada ya hapo tutapata timu itakaa kambini kwa muda wa Siku Kumi (10) kwa ajili ya kuandaa timu yetu ya Wilaya teyari kwa mashindano ya Mkoa" Mwl. Sipora Tenga Afisa Elimu Msingi Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam akieleza

Aidha, mashindano hayo yanashirikisha michezo mbalimbali kama vile mpira wa miguu (football) kwa wavulana na wasichana, mpira wa mikono (handball) kwa wavulana na wasichana, mpira wa pete (netball) riadha kwa wavulana na wasichana, mpira wa viziwi 'goalball' mpira wa wavu (volleyball) wavulana na wasichana na pia mpira wa miguu wavulana kundi maalum (viziwi)

Itakumbukwa kuwa timu ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ni Mabingwa mara Nne (4) mfululizo wa mashindano ya UMITASHUMTA kwa ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam, na mwaka huu wa 2021 wamejipanga kushinda tena ushindi wa jumla wa Mkoa wa Dar es Salaam "tunategemea kufanya vizuri, sababu tumejiandaa kufanya vizuri, tumeanzia kutafuta wachezaji kuanzia shuleni tukaja kuwachezesha kwenye Kata, alafu Kata zikachagua wachezaji wazuri wakaja kwenye Klasta na hapa tuna Klasta Nne (4) ambazo zitashindana kutengeneza timu ya Wilaya ambayo itakwenda kushindana ngazi ya Mkoa" alisema Mwl. Tenga

Naye mgeni rasmi wa uzinduzi wa mashindano hayo Bi. Charangwa Makwiro ambaye ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala aliwaasa wanamichezo kuwa na  nidhamu nakufuata maelekezo watakayokuwa wanapewa na kisha akawakumbusha mambo matatu ya kuzingatia "Sisi Wilaya ya Ilala tunakuwa na mambo matatu tu, huwa tunashinda, huwa tunaongoza na kuwa mfano kwa Wilaya nyengine, siyo kwenye michezo tu na hata kwa taaluma, kwa hiyo niwaombe katika hii michezo mfanye kwa bidii ili tuende kuinyanyua Ilala yetu"

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.