• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wadau pamoja na wawekezaji kuunga mkono kampeni ya safisha pendezesha Dar es Salaam.

Tarehe iliyowekwa: April 4th, 2023

Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala Bi. Charangwa Selemani leo tarehe 04 Aprili, 2023 amefanya kikao na wadau pamoja na wawekezaji mbalimbali kujadili namna ya kuweza kupanda Miti ya aina ya Mitende (Palm Tree) pembezeni mwa barabra ya kutoka airport mpaka Ikulu, kwa lengo la kujenga mandhari bora na inayovutia ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono kampeni ya “Safisha Pendezesha Dar es Salaam”

Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa kihistoria Karimjee uliopo Posta Jijini Dar es Salaam kilikua na lengo la kuwakutanisha wadau na wafanyabiashara wote wanaofanya biashara kutoka eneo la airport mpaka Ikulu ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono kampeni ya ‘Safisha Pendezesha Dar Es Salaam’ sambamba na kuwaomba waweze kupanda miti ya aina ya mitende (Palm Tree) pembezoni mwa barabara hiyo.

Akiongea katika kikao hicho Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala Bi.Charangwa Selemani ameeleza kuwa “ Mazingira ndio sura bora kwa kila nchi pamoja Miji huu ndio msukumo mkubwa ambao Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla kuweza kuanzisha kampeni inayohamasisha na kuhimiza suala zima la kuweka Jiji katika hali ya usafi”

Sambamba na hilo Bi. Charangwa ameendelea kusema “Barabara ya Nyerere maarufu kama ‘smart road’ kwani hii ndio sura kwa wageni wote wanaoingia Nchini,hivyo inabidi tuweke mazingira yetu safi ili Jiji letu la Dar es Salaam lionekane katika Mvuto na muonekano ambao utakuwa ni wa kuvutia”.

Kwa upande wake Mdau kutoka SBS Bw. Alexanda Nyirenda ambaye ni mkuu wa uhusiano wa kiwanda cha SBC wanaojishughulisha na uzalishaji wa vinywaji baridi vya pespsi amesema mpango ni kitu kizuri sanaa kwani mazingira ni kitu bora kama mkuu wa Mkoa anavyohitaji hivyo kwa niaba ya wadau na wafanyabiashara wenzangu sisi tupo tayari kuunga mkono na kushirikiana na Mkuu wa Mkoa kuupendezesha Mkoa huu kwa kuweza kuboresha barabara ya mwalimu nyerere”

Vile vile, Bw. Salimu Kanji kutoka kampuni ya “Satani Coperative Limited” inayojishughulisha na uuzaji wa magari amesema “Tumeitikia wito na tumekubali kushirikiana na kutekeleza yote yanayohitajika kwa kupendezesha barabara kwa kupanda miti ya Mitende (Palm Tree)”.

Naye Mkuu wa kitengo cha maliasili na uhifadhi wa mazingira kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Theresia Dennis amesema “Eneo hili la barabara ya kutoka airport mpaka Ikulu ni muhimu sana kwani viongozi pamoja na wageni kutoka nje ya nchi hutumia barabara hii hivyo lazima tuhakikishe tunapendezesha barabara hii kwa kuona umuhimu huo na kufanikisha hili tumeweza kuwahusisha wadau ili kuweza kufikia hatua bora ya utekelezaji”.

Mpango huu umeazimiwa kutekelezwa hivi punde baada ya kukamilisha mipango pamoja na taratibu ambazo kwa asilimia kubwa zinaenda kufikiwa malengo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.