• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wananchi wavutiwa maonesho ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

Tarehe iliyowekwa: August 8th, 2020

“Kwa Maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Chagua Viongozi Bora 2020,” hiyo ni kauli mbiu iliyotumika katika sherehe za wakulima, wavuvi na wafugaji yaliyofanyika katika kanda mbalimbali nchini kuanzia Agosti 1-8, mwaka huu ambao ifikapo mwezi Oktoba Watanzania watatumia haki yao kupiga kura, kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, kumchangua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wabunge na Madiwani.

Ujumbe huo, bila shaka yoyote, umetumika kuwakumbusha na kuwahamasisha wananchi kutambua kwamba hatma ya mafanikio ya Taifa la Tanzania katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi yapo mikononi mwa wananchi, hivyo wanapaswa kujitokeza na kuwachangua viongozi bora wataoshirikiana nao kuimarisha sekta hizo katika kipindi cha miaka mitano ijayo ya Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kupitia michango yake mbalimbali katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam nayo ilishiriki kikamilifu katika sherehe hizo maarufu kama Nane Nane ambazo katika Kanda ya Mashariki zilifanyika katika viwanja vya Julius Kambarage Nyerere mjini Morogoro zikihusisha mikoa ya Tanga, Pwani, Morogoro na Dar es Salaam.

Kwa kutumia “shamba darasa” wananchi walifundishwa kilimo cha mjini na namna ya kusia, kupanda na kukuza mimea ya mazao ya aina mbalimbali katika maeneo ya mijini. Aidha, Halmashauri ya Jiji iliwaonesha pia wananchi baadhi ya kazi zinazotokana na mazao ya kilimo, uvuvi na ufugaji inazofanywa na wajasiriamali wanaonufaika na mikipo ya asilimia 10 inayotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Katika maonesho hayo ya Nane Nane, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pia ilionesha mchango mkubwa unaotolewa na Shirika la Masoko Kariakoo, Shirika la Maendeleo na Uchumi Dar es Salaam (DDC) na Dar es Salaam City Council Business Park ambayo wengi huitambua kwa jina la Machinga Complex.

“Nimefurahishwa sana na maonesho yenu Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na endeleeni kuwajengea uwezo hao wajasiriamali kwa kuwapatia hiyo mikopo, mmejiaandaa vizuri”, alisema Mheshimiwa Jumaa Aweso, Naibu Waziri wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji ambaye alitembelea maonesho ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.