• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wilaya ya Ilala yafanya mdahalo kuadhimisha Miaka 61 ya Uhuru

Tarehe iliyowekwa: December 9th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija leo tarehe 9 Disemba, 2022 ameshiriki kwenye mdahalo kujadili maendeleo mbalimbali yaliyopo katika Wilaya ya Ilala tangu kupatikana kwa Uhuru wa Nchi yetu hadi sasa.

Mdahalo huo umefanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Karimjee ikiwa ni Siku ya Maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara ambapo Mkuu wa Wilaya ya Ilala kwenye hotuba yake alisema "Katika miaka 61 ya Uhuru Ilala imefikia maendeleo makubwa sana ukiangalia Sekta ya Elimu hapo mwanzo Dar es Salaam kulikuwa na Shule Tano tu na zote zilikuwa Chini ya Wakoloni leo hii Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika Uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuna jumla ya Shule 106 ndani yake shule 60 ni za Serikali na shule 41 ni shule Binafsi, haya ni mafanikio makubwa sana katika Sekta ya Elimu"

Aidha, Mhe. Ludigija alitumia fursa hiyo kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia kwa kuipatia Wilaya ya Ilala fedha za ujenzi wa mabweni maalum "Namshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kutoa pesa katika hizi ambazo kila miaka zinatumika katika sherehe za maadhimisho ya Uhuru na sasa zimeenda kujenga Mabweni ya shule Maalumu". Amesema Mhe. Ludigija.

Katika mdahalo huo mada mbalimbali zimewasilishwa kama vile kuhusu Elimu kutoka Uhuru hadi sasa, Siasa toka uhuru hadi sasa, uchumi na maendeleo kutoka Uhuru hadi sasa pamoja na kutathmini maendeleo katika miaka 61 ya uhuru wa Tanzania bara.

Akiwasilisha mada ya siasa na maendeleo Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam amesema "Tuenzi maneno ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere lakini pia kupitia maadhimisho haya Mkuu wa Wilaya mpelekee salamu zetu Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Pesa Shilingi Bilioni 6.2 kwa ajili ya Ujenzi wa vyumba vya madarasa na naomba aendelee hivi hivi kwa miaka iliyobakia ili pesa ambazo zilikuwa zinafanya sherehe hizi kitaifa  ziende katika kuimarisha shughuli za maendeleo kwa kila Wilaya"

Katika kuimarisha siasa safi toka kipindi tunapata Uhuru tukiwa na chama kimoja hadi sasa Tanzania tuna jumla ya Vyama vya Siasa 22 vilivyosajiliwa kwa kudumu hii ni ishara yakuwa na siasa safi inayofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita ikiwepo pia kuwatoa wanasiasa walioko magerezani kurudi uraiani na kufanya siasa.

Naye Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Wilaya ya Ilala Mzee Matimbwa wakati akifanya wasilisho amesema "Kabla ya Uhuru hatukuwa na Chuo kikuu bali vyuo vilianza kupatikana kwa kuchangia kutoka kwa wananchi na kwa sasa tunaona namna Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anatoa pesa kujenga madarasa kuendeleza elimu katika kuhimiza hilo kuwa misingi ya uongozi bora ni uaminifu na uzalendo wa kweli kwa kujali maslahi ya Nchi na ukiwa mzalendo na uzalendo ukiwepo hakutokuwa na rushwa kama tukiwa wazalendo tutaitekeleza siasa safi na nachukua nafasi hii kumpongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuenzi mambo yote kutoka wakati wa uhuru hadi leo kwa kusimamia kila zuri toka uhuru hadi sasa"

Mdahalo wa maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara uliofanyika katika ukumbi wa Karimjee ulitanguliwa na matukio mbalimbali wakati wa juma la kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru, matukio hayo ni pamoja na zoezi la upandaji miti katika Wilaya, mashindano ya Insha, usafi wa mazingira na shughuli za Kijamii, bonanza la michezo pamoja na mahojiano maalum na wazee huku maadhimisho hayo yakibeba kaulimbiu isemayo “Amani na Umoja ni Nguzo ya Maendeleo yetu”








Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.