• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Elimu itolewe katika Jamii kutokomeza ukatili wa kijinsia na kuthibiti maambukizi ya UKIMWI

Tarehe iliyowekwa: November 18th, 2024

Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania kwa kushirikiana na na Shirika la Umoja wa Mataifa la UN Women Leo tarehe 18 Novemba, 2024 limekutana na wadau mbalimbali katika ukumbi wa mdogo wa mikutano Arnatoglou katika hatua ya kufanya tathmini ya kati ya Ripoti ya Maswala ya Jinsia ya Mwaka 2020, ikiwa na lengo la kuangalia uhuishaji wa afua za maswala ya jinsia kwenye mkakati wa V wa afua za VVU na UKIMWI (V)

Akitoa maoni katika tathimini hiyo Mratibu wa uzazi wa mama na mtoto wa Halmshauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Moshi Athumani amesema kumekuwa na changamoto kubwa ya ukatili wa kijinsia na amehusia jamii hasa akina baba majumbani ndio wamekuwa chanzo kikubwa kwa ukatili kwa wanawake na watoto kwani wamekuwa wakiwapiga na kuwanyanyasa Kimwili, kimawazo na kifikra pindi wanapokuwa wameshindwa kufanya jambo lolote, pia mwanamke anapokwenda kliniki na kugundulika kuwa na maambukizi ya Ukimwi wanaume huwa wanawanyanyapaa na wengine kufukuzwa nyumbani

Sambamba na hilo, Bi Moshi ametoa mapendekezo yake na kutoa wito kwa wananchi wote wa jinsia zote za kike na kiume kushiriki katika Elimu ya jinsia na virusi vya ukimwi zinazotolewa na Wataalamu kutoka Serikali, taasisi na Asasi za kidini ili tuweze kutokomeza ukatili wa kijinsia hasa kwa wanawake na watoto unaopelekea kuongeza hatari ya kundi hili kuwa kwenye hatari ya kapata maambikizi ya VVU. 

Naye Mratibu wa VVU /UKIMWI Sekta ya Afya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (DACC)  Dkt. Aisha Zuheri ameeleza kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika harakati za kuhuisha maswala ya jinsia na UKIMWI, imeanzisha kliniki za vijana rika zinazotoa huduma rafiki ya afya ya uzazi kwa vijana wa makundi yote (Wanaoishi na VVU na Wasio na Maambikizi) lengo likiwa ni kutoa Elimu ya ugonjwa wa Ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa , pia kutoa ushauri kwa vijana ili kupunguza hatari ya maambukizi ya VVU, na kusema kuwa Hadi sasa kuna vituo vitano ambavyo vinatoa huduma hiyo. 

Kwa Upande wake Mshauri kutoka UN Women Dkt. Patrick Kanyamwenge ameeleza kuwa Tathimini hii lengo lake ni kupata mtazamo, maoni na mapendekezo ya kuboresha utekelezaji wa afua za maswala ya jinsia na kuyauhisha kwenye mkakati wa V wa VVU na UKIMWI ili kuleta ufanisi na kupunguza vitenda vya Kikatili kwenye jamii hasa kwa Akina Mama, mabinti na watoto.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.