• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Maswali ya Mara kwa Mara

Inachukua muda gani ili kuweza kupata kibali cha kuendesha pikipiki za magurudumu mawili/matatu katikati ya Jiji ?

Kibali cha kuendesha pikipiki za magurudumu mawili/matatu katikati ya Jiji kinatolewa kwa muda usiozidi majuma mawili mara baada ya kuwasilisha nyaraka zote muhimu na malipo kufanyika.

Jiji la Dar es Salaam linaundwa na Mamlaka ngapi za Serikali za Mitaa ?


Jiji la Dar es Salaam linaundwa na Mamlaka sita (6) za Serikali za Mitaa ambazo ni:

  • Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam 
  • Manispaa za Ilala, Kinondoni, Temeke, Kigamboni na Ubungo
Gharama za Kibali cha kuendesha pikipiki za magurudumu mawili/matatu katikati ya Jiji ni kiasi gani?

Kibali cha kuendesha pikipiki za magurudumu mawili/matatu katikati ya Jiji ni Sh. 180,000 kwa mwaka mmoja na Sh. 100,000 kwa miezi sita

Gharama za Vibali vya Maegesho ya Teksi jijini Dar es Salaam ni kiasi gani?
  • Ada ya Kituo ni Sh. 5,000 na italipwa na kila mwenye Teksi katika kituo husika
  • Ada ya Maegesho ya Teksi ni Sh. 46,000 ambazo zitalipwa na mmiliki kwa ajili ya biashara ya Teksi
Maombi ya kupangisha maeneo ya biashara katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis yatapokelewa lini na kwa kwa kutumia njia gani?

Maombi yatafanywa kwa kupitia mtandao unaopatikana kwa kupitia anuani pangisha.tamisemi.go.tz kuanzia tarehe 09-25 Novemba, 2020.

Matangazo

  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili 2022 January 04, 2023
  • Taarifa kwa Umma kuhusu Wanafunzi kuripoti shuleni mwaka 2023 January 12, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) 2022 January 29, 2023
  • TANGAZO DHIDI YA UTAPELI WA AJIRA July 20, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mkuu wa Wilaya ya Ilala Awataka Wananchi Kupanda Miti Kwa Wingi

    March 29, 2023
  • Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara wafanya mafunzo ya namna ya Utendaji kazi katika Idara hiyo Mpya

    March 29, 2023
  • Wazazi na Walezi watakiwa kuwapa Watoto Mlo Kamili

    March 29, 2023
  • Waziri Mkuu awataka Maafisa Habari Nchini kutekeleza wajibu wao

    March 27, 2023
  • Angalia zote

Video

NAPA
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 2128800

    Namba ya Mkononi: 0713614364

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.