• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ataka vijana kupewa nafasi

Tarehe iliyowekwa: October 10th, 2025

Na: Shalua Mpanda - Mbeya

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muunngano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Jamii kuwapa vijana nafasi kwa kuwa ndio nguzo kuu ya maendeleo katika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.

Ameyasema hayo jana Oktoba 10,2025 wakati wa ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Uhindini.

Waziri Mkuu Majaliwa amesema, katika kutambua hilo, Serikali imetoa kiasi cha shilingi Trilioni 3.5 hadi kufikia mwaka 2024 ukilinganisha na shilingi bilioni 904 kwa mwaka 2021 ili kuwawezesha vijana kiuchumi.

"Vijana wamekuwa nguzo muhimu sana hapa nchini katika uzalishaji hasa katika sekta za teknolojia, kilimo, biashara na michezo, kwa kulitambua hilo ndio maana Serilali imekuwa ikiongeza bajeti kila mwaka ili kuwezesha vijana kiuchumi ". Alisema

Kwa upande wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Ridhiwan Kikwete amesema Serikali inatanbua umuhimu wa Vijana na inawekeza kuthamini mchango wao katika kuleta matokeo chanya katika Jamii.

Wiki ya Vijana Kitaifa huadhimishwa kila Mwaka Oktoba 8 hadi 14 kwa kuwakutanisha vijana kutoka Tanzania bara na Visiwani kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere, kwa lengo la kujadiliana, kuonesha vipaji, bunifu na kazi wanazofanya.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ataka vijana kupewa nafasi

    October 10, 2025
  • Taasisi ya CRDB Bank Foundation yakabidhi pikipiki na bajaji kwa vikundi vya wanawake na vijana

    October 04, 2025
  • Ujenzi wa "High School" ya kisasa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam washika kasi

    September 27, 2025
  • "Mkafanye suluhu kwa amani na haki" - DC Mpogolo

    September 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.