• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Fahamu jinsi asali inavyoweza kusaidia afya ya uzazi

Tarehe iliyowekwa: August 6th, 2025

Na: Doina Mwambagi

Asali ni moja ya vyakula vya asili vinavyotambulika kwa kuongeza afya ya uzazi kwa wanawake na wanaume. Virutubisho vilivyomo kwenye asali huchochea mzunguko mzuri wa damu, kuimarisha homoni za uzazi na kuongeza nguvu asilia za mwili.

Matumizi ya mara kwa mara ya asali safi husaidia pia kupunguza matatizo ya uchovu, kushuka kwa nguvu, na huchangia kuongeza uhai wa seli za uzazi.

Haya yamewekwa bayana na na Mkurugenzi wa kikundi cha Pishon Honey, kinachojihusisha na uchakataji wa asali safi, ambacho kwa sasa kinashiriki maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Morogoro.

Kikundi hiki ni mnufaika wa mkopo wa asilimia 10 kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, fedha ambazo zimekiwezesha kuongeza uzalishaji, kuboresha vifungashio na kufikia masoko mapya.

Akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi wa Kikundi cha Pishon Honey, Bi. Jackline Mabere, amesema: “Tunashukuru Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kutuwezesha kupitia mkopo wa asilimia 10. Fedha hizi zimetusaidia kuongeza uzalishaji, kuboresha vifungashio na kuongeza ajira kwa vijana. Tunahamasisha Watanzania kutumia asali safi kwa kuwa ni kinga na tiba ya magonjwa mengi, ikiwemo kuimarisha afya ya uzazi kwa wanawake na wanaume.”

Pishon Honey huuza asali safi ya nyuki wa asili, isiyochanganywa na kemikali. Kikundi kinapanga kuongeza thamani kwa kuzalisha bidhaa mpya zitokanazo na mazao ya nyuki ili kusaidia wafugaji nyuki wa ndani na kuimarisha uchumi wa kaya.

Ushiriki wa Kikundi cha Pishon Honey katika maonesho ya Nanenane ni mfano halisi wa jinsi mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam inavyosaidia kuinua vikundi vya wajasiriamali wadogo na kuimarisha afya ya jamii kupitia bidhaa za asili.

“CHAGUA VIONGOZI BORA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI 2025”

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2025 July 08, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA February 28, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmshauri ya Jiji la DSM yaibuka kidedea Maonesho ya Nanenane

    August 08, 2025
  • DC Mpogolo atembelea banda la Jiji la DSM Maonesho ya Nanenane

    August 08, 2025
  • Fahamu jinsi asali inavyoweza kusaidia afya ya uzazi

    August 06, 2025
  • Kilimo cha Pilipili Hoho na nyanya kwa kutumia kitalu nyumba kinavyoweza kukutajirisha

    August 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.