• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Ilala Mabingwa wa UMITASHUMTA 2024 kwa Mkoa wa DSM

Tarehe iliyowekwa: May 30th, 2024

TIMU ya UMITASHUMTA Wilaya ya Ilala, leo tarehe 30 Mei, 2024 wameibuka Mabingwa wa Jumla wa Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) ngazi ya Mkoa wa Dar es Salaam, mashindano yaliyofanyika kwa Siku Nne (04) katika viwanja vya Shule ya Sekondari Jitegemee vilivyopo Temeke, Dar es Salaam

Mashindano hayo yaliyoshirikisha Timu Tano (05) kutoka katika Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam ambazo ni Wilaya ya Ilala, Kinondoni, Ubungo, Kigamboni na Temeke yalianza tarehe 27 Mei, 2024 na kutamatika leo tarehe 30 Mei, 2024 ambapo Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Toba A. Nguvila ndiye aliyekua Mgeni rasmi huku Timu ya Wilaya ya Ilala wakiibuka washindi wa Jumla kwa kubeba Jumla ya Vikombe Kumi na Mbili (12) ambapo Vikombe Tisa (09) ni vya nafasi ya kwanza, Vikombe Viwili nafasi ya Pili (2) na Kikombe Kimoja (1) Ushindi wa Jumla na Nafasi ya Pili ilienda kwa Timu ya Wilaya ya Kigamboni.

Aidha, mashindano hayo yaliwakutanisha jumla ya wanamichezo 600 walioweka kambi Shule ya Sekondari Jitegemee, ambapo Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Toba Nguvila wakati anafunga mashindano hayo amesema 

"Nawapongeza sana kwa kufanikisha mashindano haya nafahamu mwaka 2023 tulishika nafasi ya pili ngazi ya Taifa sasa nendeni mkaupambanie Mkoa wetu, hakikisheni mnatuletea vikombe vingi tena nafasi ya kwanza kitaifa msije mikono mitupu , Dar es Salaam ni Mkoa wenye heshima kubwa."

Pamoja na Timu ya Wilaya ya Ilala kushinda Ubingwa wa Mkoa, lakini pia Wilaya ya Ilala imetoa wachezaji 37 kati ya wachezaji 120 wanaounda timu ya Mkoa wa Dar es Salaam itakayokwenda kushiriki michuano hiyo kwa ngazi ya Kitaifa, mashindano yatakayofanyika Mkoani Tabora kuanzia tarehe 05 Juni, 2024 hadi 15 Juni, 2024.

Itakumbukwa kuwa timu ya Wilaya ya Ilala ndiyo walikuwa Mabingwa watetezi wa michuano hiyo kwa Mkoa wa Dar es Salaam na mwaka huu wameweza kutetea tena ubingwa wao.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.