• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mstshiki Meya wa Jiji la DSM afungua mashindano ya Tigopesa Bodaboda Mbungi ya Kishua 2023

Tarehe iliyowekwa: September 26th, 2023

Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto amefungua rasmi Mashindano ya Tigopesa Bodaboda Mbungi ya Kishua 2023 yenye kauli mbiu isemayo ‘Timiza wajibu dai haki yako’ ufunguzi uliofanyika kwenye uwanja wa Kampala uliopo Gongolamboto Jijini Dar es Salaam.

Mashindano hayo yaliyoyopo hatua ya awali ya kutafuta timu 15 yanajumuisha Wilaya tano za Ilala, Temeke, Kinondoni, Kigamboni pamoja na Ubungo ambapo kila Wilaya inatakiwa kuwa na timu tatu ambazo zitaenda kushiriki hadi hatua ya fainali, aidha kwa Wilaya ya Ilala timu 19 zimeweza kujisajili ili kuweza kushiriki katika hatua hii ya awali ya kutafuta timu 3. Aidha, wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo, Mstahiki Meya amewaasa wanamichezo hao kucheza kwa bidii kwani michezo inatoa fursa mbalimbali hivyo amewataka waendesha pikipiki kuthamini soka.

“Mashindano haya yamekua chachu ya kupenda michezo kwani hii inaonesha juhudi kubwa za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha Sekta ya Sanaa na Michezo inakua kwa kasi Nchini hivyo niwasihi sana muendelee kuthamini soka kwani michezo ni Afya na ajira kwa ujumla. Pia nipende kutoa shukrani zangu kwa Kampuni ya Tigo kwa Kudhamini mashindano haya ambayo yameonekana kufanikiwa kwa kiasi kikubwa jambo ambalo limeongeza hamasa katika michezo hivyo niwahakikishie kushirikiana nanyi bega kwa bega Mpaka mwisho wa Mashindano haya" amesema Mhe. Kumbilamoto

Kwa upande wake Katibu wa Chama cha Madereva na wamiliki Pikipiki Mkoa wa DSM (CMPD) Bw. Daudi Laurian ameeleza kuwa Mashindano Haya yaliyoandaliwa na Chama Cha Bodaboda Mkoa wa Dar es Salaam(CMPD) kwa udhamini wa Tigo yalianza rasmi tarehe 16 na 17 katika Wilaya ya Kigamboni na yanafanyika kwa Wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam lengo likiwa ni kutafuta timu 15 zitakazoweza kushiriki katika Mashindano haya kuanzia hatua ya mchuano Mpaka hatua ya fainali zinazotarajiwa kufanyika Oktoba ambapo mshindi wa kwanza atapewa fedha taslimu shilingi milioni 10 huku mshindi wa pili akipata milioni 5 na mshindi wa tatu kupokea shilingi Milioni 3.

Aidha Bw. Laurian ameendelea kusema “Mashindano haya ni bure kwa Bodaboda wote ambao wana vituo vya kuegesha(vijiwe) na yana lengo la kujumuisha madereva mbalimbali wa Bodaboda na bajaji pamoja na kuibua vipaji vya mpira kwenye vituo vyetu huku tukihakikisha tunawapa elimu juu ya kujiunga na chama cha Bodaboda kwa fursa zaidi.”

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.