• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Naibu Waziri OR-TAMISEMI awaagiza Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri Nchini kufanya tathmini za maeneo yao ili kujiweka tayari kukabiliana na majanga ya moto

Tarehe iliyowekwa: October 3rd, 2023

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za mikoa Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb) amewaagiza Wakuu wa Mikoa, Wilaya pamoja na Wakurugenzi wote nchini kuhakikisha wanafanya tathmini za maeneo yao hususani maeneo ya Biashara ili kujiweka tayari kukabiliana na majanga ya moto huku akiwataka kushirikiana na Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira namna gani hatua za dharura zinaweza kuchukuliwa endapo likitokea janga la moto ambapo kwa upande wa Dar es Salaam wanatakiwa kushirikiana na DAWASA wanapofanya tathmini za maeneo yao ya Kibiashara  kuepukana na janga la moto.

Mhe. Ndejembi ameyaelekeza hayo leo Oktoba 3, 2023 kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) wakati wa ziara yake ya kukagua eneo la Wafanyabiashara lililoungua na moto siku ya Jumapili Oktoba 1, 2023 maeneo ya Big Bon - Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Aidha Mhe. Ndejembi amewataka wafanyabiashara kuwa wavumilivu hadi Kamati ya uchunguzi iliyoundwa kutoa taarifa za moto  kukamilisha uchunguzi juu ya chanzo cha moto huo.

“Niwaombe Wafanyabiashara mliopatwa na janga hili la moto kuwa wavumilivu hadi Kamati ya Siku Saba iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa kutoa taarifa juu ya moto huo kukamilika na pindi taarifa hiyo itakapotolewa hatua stahiki zitachukuliwa papo hapo kwani Serikali yetu inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni sikivu na inafanya utekelezaji maramoja hivyo tuwe wasikivu na wavumilivu hadi taarifa hiyo itakapotolewa kwani siku Saba sio nyingi na Mpaka kufikia leo zimebaki takribani siku nne taarifa hiyo ikamilike.”

Awali akizungumza katika eneo hilo Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo ametoa shukrani zake kwa Jeshi la Polisi pamoja na Jeshi la Zima Moto kwa juhudi walizozionesha Mpaka kuzima moto huo huku akiahidi kutekeleza yale yote aliyoagiza Mhe. Ndejembi.

“Napenda kulishukuru Jeshi la Polisi kwani pindi moto unawaka waliweza Kudhibiti Hali hiyo na watu waliokoa vitu vyao na maduka mengine hayakuweza kuibiwa, pia niwashukuru Jeshi la Zima Moto kwa uwepesi wao hadi kufanikiwa kuzima moto huo na kupunguza madhara hivyo tunasubiri taarifa ya Kamati iliyoundwa ili tuweze kujua Chanzo cha moto huo na hatua nyingine zitafuata.”

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.