• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

“Nendeni mkatoe huduma bora kwa wananchi” - Mhe. Mpogolo

Tarehe iliyowekwa: November 28th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo ametoa wito kwa wenyeviti na wajumbe wa Serikali za Mitaa waliochaguliwa  katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024 kwenda kutoa huduma bora kwa wananchi na si kuwauzia.

Ameyasema hayo leo tarehe 28 Novemba ,2024 katika zoezi la uapishaji wa wenyeviti na wajumbe wa Serikali za Mitaa 2024,   limefanyika  katika ukumbi wa mikutano Anartoglou Jijini Dar es salaam.


Mhe. Mpogolo amesema “Napenda kutumia nafasi hii kutoa wito kwenu , mmechaguliwa na wananchi hivyo nendeni mkawatumikie kwa kutoa huduma bora na sio kuwauzia huduma , wananchi wana imani na nyinyi na ndio maana wamewachagua  hivyo mkatende haki kwani kiongozi anayetenda haki  eneo lake linakuwa na amani na utulivu”

Sambamba na hilo, Mhe. Mpogolo amesema kuwa Halmashauri yetu ni miongoni mwa Halmashauri zenye mitaa mingi, hata hivyo uchaguzi ulitamatika kwa amani pasipo vurugu wala vinyongo, hivi nampongeza sana Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam ambaye pia ni  msimamizi mkuu wa Uchaguzi  na timu yake kwa ujumla  kwa kutii wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwakusimamia zoezi  zima la Uchaguzi kwa haki,utulivu na weledi.

Kwa upande wake Mstahiki Meya Mhe. Omary Kumbilamoto amewataka viongozi hao kwenda kusimamia miradi iliyopo katika mitaa yao kwa maendeleo ya mitaa yao na taifa kwa ujumla.

Naye Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Ndg . Elihuruma Mabelya amewasisitiza viongozi hao kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia falsafa ya 4R (Reconciliation, Reforms, Resilience na Rebuild) ya Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kkufanya kazi ya kuwahudumia wananchi kwa haki na uzalendo kwa maslahi ya Jiji na Nchi kwa ujumla.

Halikadhalika, Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa  wamekula kiapo cha uaminifu, utii , katika kutimiza majukumu yao na kuwatendea haki watu wote kwa mujibu wa sheria.









Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.