• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

RC Chalamila atoa maelekezo mahususi Ukanda wa Kibiashara Kariakoo

Tarehe iliyowekwa: July 10th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila leo Julai 10, 2024 amefanya kikao na viongozi wa wafanyabiashara pamoja na viongozi wa Serikali, Taasisi, Mashirika na wataalam kutoka ofisi yake, katika ukumbi wa Arnatoglou Mnazi mmoja Wilaya ya Ilala Jijini humo.

RC Chalamila amesema Soko la Kariakoo ni Soko la Kimataifa na Serikali imefanya na inaendelea kufanya uwekezaji mkubwa, ambapo ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo kwa gharama ya zaidi ya Bilioni 28 ni moja ya ushaidi tosha wa uwekezaji huo.

Aidha, RC Chalamila ameagiza kufanyika kwa yafuatayo: mosi kuanza kupendezesha Soko la Kariakoo, kuweka mazingira yanayovutia ikiwemo kuwapanga vizuri wafanyabiashara hususani wadogowadogo, pia usafi wa mazingira unaoendana na kuweka vizuri mifumo ya maji taka na usafi kwa ujamla wake ambapo amesema wakandarasi wenye uwezo na vifaa vya kisasa ndiyo wanatakiwa.

Vilevile, DART ambaye ni msimamizi wa huduma za mabasi ya haraka kuweka mkakati kabambe wa kuhakikisha mabasi hayalali yanafanya kazi saa 24, na kuitaka Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kuangalia ruti za mabasi yanayo ingia na kutoka ukanda wa Kariakoo.

Sanjari na hilo, RC Chalamila amezitaka taasisi na mashirika katika Mkoa wa DSM kuchangia taa za barabarani ili kuwezesha usalama nyakati zote, pia kufungwa kamera za ulini (CCTV Cameras) pamoja na kuvitaka vyombo vya dola kijipanga vizuri kuimarisha ulinzi na usalama saa 24.

Sambamba hilo, Mhe. Mkuu wa Mkoa ameagiza Uhamiaji kufanyia kazi wafanyabiashara wa kigeni wanaojishughulisha na kazi ambazo zingeweza kufanywa na wazawa, vilevile taasisi za fedha kuanza kujipanga kuwa na dirisha la kutoa huduma hiyo saa 24 vilevile TANROADS na TARURA kuhakikisha barabara za ukanda wa soko la kariakoo zinakuwa nzuri bila mashimo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amemuhakikishia Mkuu wa Mkoa kusimamia kwa weledi mkubwa maelekezo yake kwa masilahi mapana ya Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.