Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam anawatangazia wafanyabiashara wote kuwa kutakua na Zoezi la Uhuishaji wa Takwimu za Wafanyabiashara na Walipa Kodi wa Jiji la Dar es Salaam
Zoezi litafanyika kuanzia Tarehe 1 Septemba, 2023 mpaka Tarehe 14 Septemba, 2023
Wafanyabiashara wote mna wajibu wa kutoa ushirikiano na kutoa taarifa
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 20950
Simu ya mezani: 2128800
Namba ya Mkononi:
Barua Pepe: info@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.