• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

DC Mpogolo aipongeza Halmashauri ya Jiji la DSM kwa kuendelea kuboresha Huduma za Afya

Posted on: November 7th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kuendelea kuimarisha huduma za afya ikiwemo njia za upatikanaji wa dawa, vifaa tiba  pamoja magari ya kubeba wagonjwa   ili kuhakikisha   huduma bora kwa wananchi zinatolewa kwenye vituo vya afya.

Hayo ameyasema leo Novemba 7, 2023 Katika viwanja vya ukumbi wa Arnatouglou Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi Magari saba ya kubebea wagonjwa (Ambulance) kwa Mganga Mkuu wa Jiji ambayo yamekarabatiwa  kwa kutumia fedha za mapato ya ndani ya Idara ya Afya shilingi milioni 24 baada ya kukaa muda mrefu bila matengenezo.

“Magari haya ambayo yatakua msaada mkubwa wa kuimarisha huduma za afya yanatakiwa yatunzwe kwani Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anataka tusimamie miradi vizuri na kwa kuacha alama kwa wananchi hivyo niwapongeze kwa kutumia vyema fedha za mapato ya ndani kwa kukarabati magari ya kubebea wagonjwa na kuhakikisha huduma za afya zinaboreshwa katika Halmashauri yetu. Hii ni alama kubwa sana aliyoionesha Mkurugenzi wa Jiji kwa kushirikiana na wataalamu wake kuhakikisha huduma za afya zinaboreshwa na wananchi wanapata huduma bora kwa wakati." Ameeleza DC Mpogolo.

Awali Akizungumza katika hafla hiyo Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Ndg. Jomaary Satura ameeleza kuwa ataendelea kusimamia vizuri mapato ya Halmashauri ili kupitia mapato hayo miradi mbalimbali iweze kuboreshwa huku akimpongeza Mganga Mkuu wa Jiji kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuhakikisha sekta ya afya katika Jiji la Dar es Salaam inaimarika zaidi.

Akipokea magari hayo Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Dkt. Zaituni Hamza ameeleza kuwa “Katika kuelekea 2024 sisi kama Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam tutahakikisha tunaendelea kuboresha huduma za afya kwa wananchi ambapo tumeweza kutenga shilingi milioni 100 kwenye Makusanyo ya shilingi milioni 500 ya Idara ili kukarabati magari ya wagonjwa yaliyokuwa hayafanyi kazi kwa kipindi kirefu ambapo takribani magari 7 ya kubebea wagonjwa tunayokabithiwa leo yamekarabatiwa kwa shilingi milioni 24 fedha kutoka mapato ya ndani ya Idara ya Afya hivyo niwahakikishieni kwa kushirikiana na wataalamu wenzangu tutaendelea kuboresha huduma za afya katika Jiji letu hata hivyo tumejipanga kujenga chuo kuku cha Kati katika Halmashauri yetu lengo ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kwa wakati”.

Sambamba na hilo Dkt. Zaituni amehakikisha kusimamia magari hayo ili yaweze kudumu kwa muda mrefu huku akieleza kuwa kutokana na mapato ya ndani ya Halmashauri, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeanza utekelezaji wa jengo la upasuaji pamoja na wodi za Wanaume na Wanawake katika Hospitali ya Mnazi Mmoja hii ikiwa ni kuendelea kuboresha huduma za afya kwa wananchi wa Jiji la Dar es Salaam.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.