• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

DC Mpogolo asikiliza kero za Wananchi wa Kata za Mnyamani na Vingunguti

Posted on: October 18th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo leo Oktoba 18, 2023 amefanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero za Wananchi wa Kata ya Vingunguti pamoja naKata ya Mnyamani ikiwa ni utaratibu wake wa kuwafikia wananchi kusikiliza na kutatua kero zao.

Akiwa katika kusikiliza kero za wananchi wa Kata ya Vingunguti eneo la Mabuchani Mhe. Mpogolo amesema amebaini kero kubwa kutoka kwa wananchi wa Kata ya Vingunguti ni kukosekana kwa wataalamu wa ngozi hivyo kufanya watu wa mabucha kutupa ngozi hizo, ukosefu wa Dawa katika kituo cha Afya Buguruni, pamoja na ubovu wa huduma za kampuni za uzoaji taka.

Hata hivyo Mhe. Mpogolo amewataka Viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam hususani Mkuu wa Divisheni ya Mifugo na Uvuvi kuhakikisha anatafuta wataalamu wa ngozi ili kuona namna gani ya kuboresha huduma ya ngozi pia amemtaka ahakikishe eneo la nje la machinjio linaboreshwa kuelekea katika msimu wa mvua.

“Niwaombe Viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuandaa kikao na wataalamu wa ngozi ili tuweze kuboresha huduma za ngozi kwani ngozi ina thamani kubwa na itatuingizia mapato hivyo na mimi nitashirikiana na Mstahiki Meya kutafuta wataalamu hao tuone namna gani watatuelekeza kuhusu uboreshaji wa ngozi hizo za wanyama pia tuhakikishe tunaboresha zaidi huduma katika machinjio yetu lengo likiwa ni kuzuia upotevu wa mapato yetu kwani Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametenga fedha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya Elimu, Afya na Barabara hivyo mapato hayo yatasaidia katika utekelezaji wa miradi hiyo ya Maendeleo.” Amesema Mhe. Mpogolo

Kwa upande Mwingine Mhe. Mpogolo ameweza kusikiliza kero za Wananchi wa Mnyamani na kumuelekeza Mganga Mkuu wa Jiji la Dar es Salaam kuhakikisha huduma za afya katika kituo cha afya Buguruni zinaboreshwa hususani eneo la huduma kwa wateja kwani inaonekana wahudumu wa kituo hicho hawana huduma nzuri kwa wagonjwa wao.

Sambamba na hilo, Mhe. Mpogolo amewataka Wananchi wa Kata ya Mnyamani pamoja na vingunguti kutoa ada za taka na pia kuwa wavumilivu kwani suala la mkandarasi anaezoa taka maeneo hayo litafanyiwa kazi huku akiwataka Wananchi hao kufika ofisini kwake pindi wanapokua na malalamiko.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam aliweza kumuhakikishia Mkuu wa Wilaya kutekeleza yote aliyowaagiza ili kuboresha huduma na kuzuia upotevu wa mapato ya Halmashauri.

Mwisho wananchi na viongozi wa Kata za Mnyamani na Vingunguti wamepongeza ziara ya Mkuu wa Wilaya kwa kuwakumbuka katika kusikiliza kero zao na kumuhakikishia kutekeleza yote aliyoyaagiza. Ziara hii ni endelevu kwa kata zote 36 za Ilala.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.