• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara wafanya mafunzo ya namna ya Utendaji kazi katika Idara hiyo Mpya

Posted on: March 29th, 2023

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara leo Machi 29,2023 wameanza rasmi mafunzo ya kujifunza namna ya utendaji kazi ikiwa idara hiyo ni mpya.

Mafunzo hayo yanayofanyika katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam yatawezeshwa kwa siku 10 na wawezeshaji mbalimbali kutoka Wizara ya Uwekezaji,Viwanda na Biashara, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMi), Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), pamoja na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA).

Akifungua Mafunzo hayo kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Tabu Shaibu amewataka watumishi kutoka Idara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kuhakikisha wanakua makini kusikiliza yote watakayoelekezwa katika mafunzo hayonili kuweza kufikia lengo lililokusudiwa.

Aidha Bi.Tabu Shaibu ameweza kumshukuru Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kuanzaisha wizara mpya ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ambayo italeta tija katika kukuza sekta ya Viwanda na biashara nchini. “Nipende kutoa Shukrani zangu za dhati kwa Rais wetu kwa kuanzisha wizara mpya ya Uwekezaji ,Viwanda na Biashara pia niwashukuru wawezeshaji wote mlioungana na Watumishi wetu kutoka Jiji la Dar es Salaam kujitolea kuja kuwapa mafunzo haya ambayo yatakua na manufaa makubwa kwa Idara yetu kupanga mikakati mathubuti ya namna ya kuendesha biashara zetu na kuweza kukuza mapato ya Halmashauri kwa kiwango cha juu zaidi hivyo niwaombee msikilize kwa makini na nimatumaini yangu baada ya mafunzo haya mtakua mmefikia lengo lililokusudiwa”.

Vilevile Bi.Tabu Shaibu alitoa wito kwa Watumishi wa Idara ya Uwekezaji,Viwanda na Biashara kuhakikisha ndani ya siku kumi za mafunzo wahakikishe wamepata walichokikusudia pia wakimaliza kazi wafanye kazi kwa kushirikiana ili kuweza kupata mafanikio ya pamoja katika kuongeza mapato ya Halmashauri ya Jiji na Nchi kwa ujumla wake.

Kwa Upande wake Afisa Biashara Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Bw.Amos Jeremiah ameeleza kuwa “Sisi kama watendaji wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara tumeungana na wenzetu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuhakikisha tunawapa muongozo na uelewa wa namna ya utendaji kazi katika Idara mpya ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha majukumu ya kazi yanatekelezwa kwa kiwango cha juu zaidi.”

Naye Mwezeshaji kutoka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Bw. Ishara Nzamilisi ameeleza kuwa kwa kushirikiana na Wadau kutoka BRELA na TANTRADE ni matumaini yao mafunzo haya yataenda sambamba na ilivyotarajiwa kwani mada mbalimbali zitatolewa kwa mujibu wa utaratibu lengo likiwa ni kuhakikisha sekta ya viwanda na Biashara inakua kwa kasi na maendeleo ya nchi kukua zaidi.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.