• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Wilaya ya Ilala Wapewa Elimu ya Muongozo Mpya wa utoaji Mikopo ya Asilimia 10%

Posted on: October 15th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Illala Mhe. Edward Mpogolo   amewataka Viongozi wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Wilaya ya Ilala kuhakikisha wanakua mstari wa mbele kuwaelimisha wanawake kuhusu muongozo mpya wa utoaji wa mikopo.

Mhe. Mpogolo ameyasema hayo leo Oktoba 15, 2024 wakati wa kikao cha viongozi wa majukwaa kwa Kata 36 za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kilichofanyika katika Ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam kikiwa na lengo la kutoa elimu ya muongozo mpya wa utoaji mikopo pamoja na uhamasishaji wa kujiandikisha na kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024.

Akiongea na viongozi hao, Mhe. Mpogolo amewahimiza viongozi hao kuhakikisha elimu wanayopewa wanaenda kuelimisha wananchi huku akiwataka wawe makini katika kusimamia vikundi na wasianzishe vikundi vipya kwani nikinyume na sheria na ikibainika wamefanya ivyo hatua za kisheria zitachukuliwa.

"Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam inatekeleza agizo la Serikali la kuhakikisha  viongozi wote wanaosimamia vikundi vya mikopo  wanapatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo katika utoaji na usimamizi wa mikopo kwa kutumia mfumo mpya hivyo ninyi kama viongozi wa majukwaa mnatakiwa kuwaelimisha wananchi hususani wanawake kutumia fursa hii katika kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi kwani mikopo ya awamu hii inatolewa kuanzia laki tano hivyo haya wafanyabiashara ndogondogo wanafursa yakupata mikopo hii hivyo ni imani yangu mtawawlimisha vyema na hamtafanya kazi kinyume na sheria." Ameeleza Mhe. Mpogolo.

Halikadhalika, Mhe. Mpogolo amewahimiza viongozi hao kuhakikisha wanajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura la uchaguzi wa Serikali za Mitaa Oktoba 11 na linahitimishwa Oktoba 20, 2024 ili waweze kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa ifikapo Novemba 27, 2024.

Awali Akitoa Mafunzo kwa wananchama hao Mratibu wa dawati la uwezeshaji wananchi kiuchumi Halmshauri ya Jiji la DSM Bi. Georges Asenga wanachama hao amesema mafunzo ya muongozo mpya wa utoaji na usimamizi wa mikopo kwa njia ya benki huku akiwasisitiza viongozi wa Jukwaa hilo kuhakikisha wanakua makini katika kuomba mikopo pamoja na kuhakikisha wanawaelimisha wananchi kuchukua mikopo kulingana na biashara zao ili kuepuka usumbufu wakati wa Marejesho.

Sambamba na hilo, Bi. Asenga amemshukuu Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kurudisha mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu kwakua mikopo hiyo itakua chachu ya kuwakwamua wananchi kiuchumi huku akitoa wito kwa wananchi kutumia fursa hii kuweza kujitokeza katika mafunzo ya utoaji wa elimu ili waweze kuwa na uelewa na hatimaye kutengeneza vikundi na kupata mikopo isiyo na riba itakayo waondoa kwenye wimbi la umaskini.

Naye Mwenyekiti wa Jukwaa la uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Wilayabya Ilala Bi. Rehema Sanga ametoa shukrani zake kwa kupatiwa elimu hiyo huku akimuhakikishia Mkuu wa Wilaya kutekeleza yale yote aliyowaelekeza.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.