• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Ilala watembelea Idara ya Afya Jiji la DSM

Posted on: January 19th, 2023

Idara ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii, imetoa elimu kwa wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi ya CCM Wilaya ya Ilala, ambapo Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Dkt. Elizabeth Nyema, amewashauri wajumbe wa kamati ya utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi ya CCM Wilaya ya Ilala kupeleka Elimu ya Afya kwa wananchi wa Ilala.

Hayo ameyabainisha leo, wakati walipofanya kikao cha majadiliano baina ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji ya Jumuiya ya wazazi ya CCM Wilaya ya Ilala pamoja na Idara ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

"Wakina Mama wengi huanza kliniki wakiwa na mimba ya wiki kumi na mbili na wengine wanakuja wakiwa wanakaribia kujifungua kwahiyo hata kama kuna tatizo nyuma hatuwezi kuligundua wakati mtoto ameshakua na kama hajapata dawa za awali kuweza kumkinga yeye na mtoto ikiwemo malaria inakuwa ni changamoto kwaiyo unakuta mama dakika za mwisho anapoteza mtoto lakini ni kwa sababu hakufika kliniki kwa wakati, tunaomba pia hii elimu iweze kufika ili iweze kuwasaidia akina mama na kupunguza vifo vya mama na mtoto" Alisema Dkt. Elizabeth Nyema.

Awali Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala, Ndugu Mtiti Mbassa Jirabi, alieleza kuwa eneo la Afya ni eneo ambalo limepewa kipaumbele katika kamati ya Wazazi ya Wilaya na kusisitiza Sekta ya Afya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuendelea kuwapatia elimu ili kuwawezesha nao kuisaidia Jamii

"Naomba nilisisitize hilo kama Sekta ya Afya itakuwa na utaratibu wa aina hiyo kutupatia elimu, sisi tunahitaji elimu kutoka kwenu ili tuweze kusaidia hizi jamii." alisema Jirabi

Aidha, Walter Kayombo, ambaye ni Mratibu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (iCHF) Jiji la Dar es Salaam, alisema mwaka juzi walitenga milioni 6.4, kwaajili ya kuhudumia makundi maalumu yanayohusisha wazee, watu wenye ulemavu na wananchi wa kawaida wasio na uwezo wa kuhimili changamoto za matibabu, katika kiasi hicho cha milioni 6.4 kilichokuwa kimetengwa waliweza kutoa kadi 125 za utambuzi kwa wazee maeneo tofauti tofauti kwenye Halmashauri.

Naye Mratibu wa Malaria Jiji la Dar es Salaam, Ally Adinani, alisema kuwa lengo lao kubwa ni kupunguza Mbu waenezao malaria katika Jiji la Dar es Salaam  "Tuna mbu ambao ni wengi na asilimia kubwa karibu 96% ni ‘curisense’ ambao ni mbu wasumbufu ambao wanaeneza mabusha na matende na 4% ni mbu wa malaria ambapo ukiangalia kimsingi wengi wako kwenye maeneo ya nje ya Jiji la Dar es Salaam" alisema AdnanI

Hata hivyo, Ndg. Adinani ametoa ufafanuzi kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imepanga bajeti ya ununuzi wa viua mbu kwa mwaka huu kudhibiti maambukizi ya malaria katika Jiji la hilo.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • Mwenge wa Uhuru waweka jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mzinga

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wakagua mradi wa vijana "Ulipo Tupo" Tabata

    June 03, 2025
  • Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Magengeni - Chang'ombe umewekewa jiwe la msingi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wazindua mradi wa Nishati Safi Soko la Samaki Feri

    June 03, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.