• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Kamati ya Siasa Wilaya ya Ilala Yaridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

Posted on: March 14th, 2023

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala yaridhishwa na matumizi ya fedha na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa kupitia fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti CCM Wilaya ya Ilala Ndg. Said Sidde leo tarehe 14 Machi, 2023 akiwa na Wajumbe wa Kamati ya Siasa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi mbalimlbali ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa mwaka 2021/2022.

Miradi iliyotembelewa na Kamati hiyo ni pamoja na ujenzi wa Kituo cha Afya Mchikichini kinachotekelezwa kwa fedha za mapato ya ndani takribani shilingi Bilioni 5.2 kikiwa hatua ya Frame Work (Boma) na hadi kufikia Novemba 2023 kituo hicho kitakamiliki,ujenzi wa ukaguzi wa mazingira ya dampo la Pugu Kinyamwezi ambapo Serikali ya Uholanzi kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wametoa msaada wa Bilioni 2 kwa ajili ya uboreshaji wa udhibiti wa miundombinu ya taka ngumu, Ukaguzi wa Kivuko cha Mgeule kinachotekelezwa kwa kutumia fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri ambapo kivuko hicho kimetekelezwa kwa asilimia 54.32% na hadi kukamilika kivuko hicho kitatumia takribani shilingi milioni 614.8, ukaguzi wa ujenzi wa ghorofa lenye sakafu 5 zenye madarasa 20 na matundu 45 ya vyoo katika Shule ya Sekondari Bonyokwa ambapo ujenzi huo upo hatua ya Jamvi na hadi kufikia Oktoba 2023 ujenzi unatarajiwa kukamilika na utagharimu takribani shilingi bilioni 1.7 zikiwa ni fedha kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Ukaguzi wa barabara ya kiwango cha Lami Kasongo Mtaa wa Mafuriko yenye urefu wa mita 341 milioni ambayo imetekelezwa kwa fedha takribani shilingi milioni 456 zikiwa ni fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri.

Aidha Wajumbe hao pia walipata fursa ya kutembelea Mradi wa Kikundi cha Boda Boda TITANIC ambao ni wanufaika wa Asilimia 10% ya mapato ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambapo kwa awamu ya kwanza vijana hao walipewa shilingi milioni 12 ambazo zilitumika kununua Pikipiki tano (5) baada ya kurejesha mkopo huo wakapewa tena kiasi cha shilingi Milioni 50 ambazo wamefungua duka la huduma za miamala ya simu huku kikundi hicho kikiweza kurejesha shilingi milioni 13 mpaka sasa, aidha kikundi cha vijana ni muunganiko wa vijana saba (7) ambao walitokea mazingira magumu na wengine walikua waathirika wa madawa ya kulevya.

Akihitimisha ziara hiyo Mwenyekiti wa kamati ya Siasa Wilaya ya Ilala Ndg. Said Sidde amesema “Naipongeza sana Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa utekelezaji wa miradi kwani thamani ya fedha inaonekana pia miradi inatekelezwa kwa kiwango cha juu zaidi hii inaonyesha ni jinsi gani Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inavyotekelezwa kwa kasi zaidi.”

Sambamba na hilo Bw.Sidde ameeleza kuwa katika dampo la Pugu Kinyamwezi ambalo linaonekana kuwa na wafanyakazi takribani 600 ambao wanaokota taka kwa ajili ya viwanda hivyo ameelekeza kuwa kama ikiwezekana Halmashauri waanzishe sheria ndogo kwa ajili ya kupata mapato kwa yale makampuni yanayochukua taka kwenye dampo kwa ajili ya kuzalisha vitu mbalimbali.

Akiongea kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala Bi. Charagwa Selemani amemuhakikishia mwenyekiti wa kamati ya Siasa Wilaya ya Ilala kutekeleza yote aliyoyaagiza lengo likiwa ni Kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) pamoja na kusogeza huduma za kijamii karibu na Wananchi.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.