• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam apokea taarifa ya mpango kazi wa Anuani za makazi katika Halmashauri zote za Mkoa huo

Posted on: February 15th, 2022

Na. Judith Msuya

Kuelekea Sensa ya  watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa Maendeleo endelevu ya Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Amos Makalla leo Februari 15, 2022 amefanya kikao kazi na viongozi mbalimbali wa Halmashauri tano(5) za Mkoa wa Dar es Salaam ikiwemo Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Halmashauri ya Maniapaa ya Kinondoni , Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni lengo likiwa kuelimisha, kuhamasisha  na kujua mpango kazi wa kwaajili ya anuani za Makazi ambazo ni msingi mzuri wa Sensa ya Makazi ya Mwaka 2022.

Kikao kazi hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Arnatoglou Jijini Dar es Salaam   kilichowajumuisha   viongozi mbalimbali wakiwemo Kamisaa wa Sensa ,Mwakilishi kutoka Wizara ya Habari na Mawasiliano, Wakuu wa Wilaya zote  tano, Mameya wa Halmashauri zote tano, Wakurugenzi wa Halmashauri zote, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam, wataalamu wa takwimu Pamoja na maafisa Ardhi kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Dar es Salaam.

Aidha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla amewaelekeza wakurugenzi wa  Halmashauri zote za Mkoa wa Dar es Salaam kuharakisha mpango kazi wa oparesheni ya zoezi la anuani za makazi ambslo ndio msingi mzuri wa kufanikisha zoezi la sensea ya Wat una Makazi ya Mwaka 2022 inayotarajiwa kuanza mwezi wa nane mwaka huu.

Sambamba na hilo RC Makalla amesema zoezi hilo lina manufaa makubwa kwakua  linakwenda kuweka Jiji katika mpangilio mzuri kwani migogoro ya ardhi itapungua suala la ulinzi na usalama litaimarika, majanga ya moto yatapungua na litawezesha biashara kidijitali hivyo ametoa wito kwa wananchi kulipokea vizuri na kutoa ushirikiano ili kukamilisha zoezi hili kwa wakati.

Hata hivyo Mhe. Makalla amempongeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta zoezi hilokwa wakati muafaka ambao una mapinduzi makubwa ya sayansi na Teknolojia na mambo mengi yanakwenda kwa mfumo wa kidijitali.

Vilevile Mhe. Makalla amewapongeza Viongozi wote wa Mkoa wa Dar es Salaam walioshiriki katika zoezi zima la kuwapanga wafanyabiashara Pamoja na maandalizi mazuri waliyoyafanya kupendezesha  na kusafisha Mkoa wa Dar es Salaam kwani Mkoa wa Dar es Salaam umekua ni miongoni mwa Majiji safi barani Afrika ambapo Mkoa wa Dar es Salaam umeshika nafasi ya sita(6) hii inaonyesha ni jinsi gani zoezi la kupendezesha na kusafisha Dar es Salaam limeweza kufanyika vizuri na kwa utaratibu mzuri.

Kwa upande wake Kamisaa wa Sensa Mhe. Anna Makinda ameeleza kua "japo zoezi hili anuani za makazi ni gumu kutokana na asili ya Mkoa wetu wa Dar es Salaam lakini nawaomba mlifanye kwa umakini mkubwa na weledi kwa kushirikiana na wataalamu wetu Wa takwimu kusudi shilingi Bilioni 28 zilizotengwa na Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan zitumike kwa uhakika na kazi iwe nzuri na tuimalize kwa wakati japo muda ni mchache.”

Akitoa taarifa fupi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam juu ya utekelezaji wa  mpango kazi wa ukusanyaji taarifa za Anuani za Makazi Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Tabu Shaibu ameeleza kua Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imejipanga vizuri katika kuratibu zoezi la ukusanyaji wa taarifa kwani   imeweza kuwajengea uwezo Watendaji wa mitaa na Kata ili waweze kusimamia  vizuri ukusanyaji wa takwimu hizo.

“Tarehe 14, Februari 2022  Halmashauri ya Jiji ilifanya Kikao na Watendaji Kata na MItaa Pamoja na Waratibu lengo ikiwa ni kuwajengea uwezo juu kusimamia zoezi zima la Anuani za Makazi Pamoja na kuwapa maelekezojuu ya kufanya kazi zilizopo chini yao, pia Kutokana na kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ina Kata 36 na mitaa 159 ambazo zina Idadi ya  kaya 486138 hivyo ilikufanikisha kazi hii tutahitaji wakusanya data mia tatu kumi na nane (318) na  muda wa utekelezaji kulingana na mpango kazi ni siku sitini (60) hivyo tumepanga ratiba ya kuwajengea uwezo watu wote watakaohusika katika kazi hii ambapo tarehe Februari 17 tutawajengea uwezo watendaji Kata na Mitaa na februari 23, 2022 tutawajengee uwezo wakusanya taarifa namna ya kufanya kazi hiyo na  mnamo Februari 23, 2022 zoezi la kukusanya taarifa za Anuani za Makazi litaanza rasmi na hadi kufikia April 23, 2022 zoezi hilo litakua  limekamilika.”Ameeleza Bi. Tabu Shaibu.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.