• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

MKUU WA WILAYA YA UBUNGO AMWAGA SIFA KWA HALMASHAURI YA JIJI DSM MAADHIMISHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

Posted on: October 16th, 2022

Na,amanzi kimonjo.

Kwa niaba ya  Mkuu wa Dar es Salaam,Mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James leo tarehe 16 Octoba 2022 ametembelea maonesho ya maadhimisho ya siku ya Chakula Duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam,maadhimisho hayo yamefanyika ikiwa yameudhuliwa na Halmashauri zote tano zilizopo Mkoa wa Dar es Salaam ikiwa ni Halmashauri ya Ubungo,Temeke,Kinondoni,Kigamboni na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (Ilala) huku Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imekuwa mwenyeji wa maonesho hayo.

Akimuakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe.James ametembelea mabanda yote ya Halmashauri zote Tano "Nawapongeza Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kwa maandalizi makubwa katika mabanda yao kwa vitu vilivyojaa ujuzi na teknolojia  katika maadhimisho haya ya chakula Duniani,endeleeni kufanya hivyo kwa maslahi mapana ya wananchi"  amesema Mhe.James.

kila mwaka ifikapo tarehe 16 Octoba  ni maadhmisho ya siku ya chakula Duniani Kauli mbiu katika maadhimisho ya mwaka huu inasema " Uzalishaji bora,Lishe bora,Mazingira bora na Maisha Bora kwa wote Habaki Mtu nyuma" ikiwa ni sehemu moja wapo ya kuhamasisha na kuhimiza Ulaji bora wa vyakula kwa afya njema kwa wote inawezekana, maadhimisho haya ni ya 77 tangu kuanza kusherekea  kuadhimishwa kwake.

Shughuli za uzalishaji wa chakula kwa njia za kisasa za kilimo bora sambamba na hilo Mkoa wa Dar es s Salaam ikiongozwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam inajikita zaidi na kilimo cha aina mbalimbali ikiwa pamoja na kilimo cha mboga,uyoga,Mahindi,matunda,papai,pilipili hoho na mazao mengi ikiwa nyenzo muhimu zitumikazo za kisasa kama vile kilimo cha mjini,kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia matone kwa chupa na kutumia mipira.

"elimu tuliyoipata leo ikatunufaishe,ikaelimishe juu ya matumizi ya chakula ili kudumisha lishe bora na  umuhimu kila mtu kila mtu atumie maonesho haya kuweza kunufaika pia kauli mbiu ya mwaka huu inatutaka kama taifa kuweka mkakati mahususi wa kula chakula bora kutoka katika makundi yote sita ya vyakula kikamirifu"

Sambamaba na hilo kudumisha chakula Duniani teknolojia mbalimbali utumika katika kuandaa chakula inayotumia umeme wa jua,mashine za kukuna nazi,mashine za kutengeneza juisi,mashine za kuchepa mahindi na viungo kama tangawizi,uji wa lishe na zinginezo Halmashauri ya Dar es salaam ina maeneo makubwa kwa shughuli za kilimo kama Mbondole na Kinyamwezi.

Aidha Mhe.James amesisitiza matumizi sahihi ya vyakula kwa kudumisha lishe kwa afya bora kwa mwanadamu pia ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kudumisha lishe kwa watanzania "Nashukuru serikali ya awamu ya sita iliyochini ya Rais wetu Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mipango madhubuti juu ya lishe bora kwa watanzania na kuongeza bajeti katika uzalishaji,utoaji wa ruzuku ili kuimarisha sekta ya kilimo ili kukuza uzalishaji wa chakula".

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.