• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

TAKUKURU yasisitiza uanzishwaji wa Klabu za kupinga rushwa mashuleni

Posted on: October 16th, 2023

Mkuu wa TAKUKURU  Mkoa wa Ilala Ndg. Sosthenes Kibwengo ametoa rai kwa walimu wa shule za msingi kuanzisha klabu za kupinga rushwa katika shule zao ili kuwawezesha vijana kutambua nafasi na wajibu wao katika mapambano dhidi ya rushwa na kuwafanya washiriki ipasavyo katika kuzuia na kupambana na rushwa.

Ndg. Kibwengo ameyasema hayo wakati wa mafunzo kwa walimu wa shule za msingi za Serikali na binafsi yaliyofanyika leo tarehe 16 Oktoba, 2023 katika Shule ya Msingi Kisutu.

Aidha, ameongeza kuwa wameamua kutoa mafunzo ya kuzuia na kupambana na rushwa kwa walimu kwani wao ndio daraja ambalo vijana wanapaswa kulipanda ili nchi ifikie malengo iliyojiwekea kwa sababu Tanzania ya leo na kesho inahitaji vijana waadilifu, wazalendo, wapenda haki na wale wanaoamini kuwa kufanya kazi ndio njia pekee ya mafanikio.

"TAKUKURU tumeamua kuwekeza kwa vijana kwa wao ndio taifa la kesho. Kijana anayetumia madawa ya kulevya na asiyejua madhara ya rushwa hawezi kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya familia na ujenzi wa taifa kwa ujumla." Amesema Ndg. Kibwengo

Naye mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo Mwl. Sophia Daniel wa shule ya Msingi Kiwalani amewashukuru TAKUKURU Mkoa wa Ilala kwa kuandaa mafunzo hayo kwao na kusema kuwa mafunzo watakayoyapata yatawasaidia kuwawezesha wanafunzi katika kupinga na kupambana na rushwa pamoja na madawa ya kulevya na kutoa wito kwa walimu wenzake ambao ni walezi wa wanafunzi hao wawapo shuleni kuwa na mikakati endelevu katika klabu walizozianzisha ili watoto waendelee kukua katika maadili mema wakitambua madhara yatokanayo na rushwa na madawa ya kulevya kwa ustawi bora wa nchi.

TAKUKURU kupitia Idara yake ya Elimu kwa Umma imekuwa na utaratibu wa kutumia mbinu mbalimbali kuwaelimisha na kuwashirikisha wanajamii wa makundi mbalimbali ikiwa ni pamoja na vijana walioko shuleni kwa kuanzisha Klabu mbalimbali za kupinga na kupambana na rushwa na dawa za kulevya kwa lengo la kuwajenga vijana kimaadili kwa kuwafanya watambue madhara ya rushwa na kujenga jamii ya watu waadilifu.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • Mwenge wa Uhuru waweka jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mzinga

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wakagua mradi wa vijana "Ulipo Tupo" Tabata

    June 03, 2025
  • Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Magengeni - Chang'ombe umewekewa jiwe la msingi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa

    June 03, 2025
  • Mwenge wa Uhuru wazindua mradi wa Nishati Safi Soko la Samaki Feri

    June 03, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.