• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Waziri Mkuu Majaliwa atembelea machinjio ya Vingunguti

Posted on: May 17th, 2021

Na: Judith Damas

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa  amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kuhakikisha kuwa hadi kufikia Juni 30 , 2021 Machinjio ya  kisasa ya Vingunguti ianze kufanya kazi ili kuhakikisha tunapata nyama yenye thamani zaidi ambayo itauzwa hadi nje ya Nchi ya Tanzania.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa kata ya Vingunguti katika ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya mradi wa Machinjio ya kisasa ya Vingunguti leo Mie17,2021 Waziri Mkuu ameeleza kuwa mradi huo umekamilika kwa asilimia 95 ikiwemo ujenzi wa visima vya kuchuja maji taka, vyumba vya kuhifadhia nyama pamoja na chumba cha kuchomea mizoga hivyo kumuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kuhakikisha kuwa Marekebisho madogomadogo yaliyosalia  kukamilika katika machinjio hayo  ili yaanze kufanya kazi rasmi.

Sambamba na hilo Waziri Mkuu amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kuhakikisha wanaziba mifereji ya maji  na kujenga mifereji maaulum yakupitisha maji ili kuzuia maji kutiririka na kuharibu miundombinu ya na mikazi ya  watu.

" Niwaagize Jiji kuhakikisha kuwa wanajenga mifereji maalumu ya kupeleka maji mtoni na hivyo kwenye hizo asilimia tano(5)zilizobaki  mjenge mifereji hiyo ili kuhakikisha maji yanaenda mtoni  na sio kwenye mikazi  ya watu". Amesema Waziri Mkuu.

Aidha Waziri Mkuu amemwelekeza Mwenyekiti wa wajasiriamali kwenye machinjio hayo kuhakikisha   wananashirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam ili kuweza kumaliza tofauti zao na kuzungumza lugha moja.

"Ningetamani sana kama tungeweza kuanza kutumia machinjio haya ya Kisasa hata leo  lakini pia mwenyekiti wenu ameniambia ni vyema tukamilishe kwanza ujenzi huu, ila na mimi ningewaomba mshirikiane na Halmashauri ya Jiji ili muweze kuwa kitu kimoja ili kuweza kufanikisha jambo hili na pia muda mwingine mnaweza kutafuta ngo'mbe na kuja kuchinja huku ili kuwafanya wachinjaji kuzoea na mara baada ya kuanza kutumia machinjio haya ya kisasa ya Vingunguti kazi ziwe zinaenda kwa uharaka zaidi"

Vilevile, Waziri Mkuu  amemuhakikishia Mbunge wa Jimbo la segerea kuwa suala la ajira kwa vijana waliopo maeneo ya machinjio hayo amelipokea moja kwa moja na anamuachia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam atakapotangaza ajira aanze na vijana hao wanaofanya kazi katika machinjio ya zamani kwani wanauzoefu mkubwa  zaidi.

Kwa upande wake Naibu waziri wa Ardhi Mhe.Anjelina Mabula amewapongeza Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam ambao wamebuni mradi huo wa kimkakati wenye mafanikio chanya kwa wananchi na hivyo kumuahidi Waziri Mkuu kusimamia mradi huo ili uweze kukamilika kwa wakati.

"Sisi kama Wizara ambao tunasimamia kile ambacho unaelekeza na tutawasimamia National Housing kufanya ile kazi ambayo utakua unaelekeza kwani mradi huu wa kimkakati utakapokamilika vijana watapata ajira  na kukuza uchumi pia." Amesema Mhe. Mabula.

Akitoa taarifa ya mradi huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam  Ndug.Jumanne Shauri ameeleza kuwa machinjio ya vingunguti yamefikia asilimia 95 za utekelezaji na yamegharimu takribani Shilingi Bilioni 12.49 mpaka kukamilika kwake na hivyo amemuahidi Waziri Mkuu kuwa hadi kufikia Juni 30, 2021 mradi huo utaanza kutumika rasmi ambapo utawanufaisha wananchi wengi na pato la Halmashauri litaongezeka.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.