• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaints |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Dar es Salaam City Council

  • Home
  • About Us
    • City Profile
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Council Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance, Administration and Personnel
      • Works and Fire Rescue
      • Waste Management
      • Urban Planning, Environment and Transportation
      • Health Services
    • Units
      • Planning, Monitoring and Statistics
      • Legal and Safety
      • Public Relations and Protocol
      • Internal Audit
      • Procurement and Supply
  • Investment Opportunity
    • Tourism Activities
      • Our Dar es Salaam
      • Animal zoos
      • Cultural Arts and Traditions
      • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
      • Public spaces, Garden and Sports
      • Shopping, Entertainment and Social life
      • Historical and Heritage building and sites
      • Beaches, Waterfronts and Islands
    • Recycling of Solid Waste
  • Our Services
    • Motorcycle Permit
    • Taxi Parking Permit
    • Car Parking
    • Bus Terminals
    • Solid Waste Management
    • Land History Information
    • Burial for unclaimed dead bodies
  • Councillors
    • All Councillors
    • Standing Committee
      • Finance and Administration Committee
      • Urban Planning, Environment and Infrastructure Commitee
      • Planning and Coordination Committee
      • Social Welfare Committee
      • Ethics Committee
    • Council Meetings
    • Lord Mayor's Timetable
    • Former City Mayors
  • Projects
    • Completed projects
    • Planned Projects
    • Ongoing Projects
    • City Investments
  • Publications
    • Acts
    • ByLaws
    • Policies
    • Guidelines
    • Reports
    • Application Form
    • Integrity Pledges Form
  • Media Centre
    • Press Release
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Speeches
    • News
    • Events

Wilaya ya Ilala yaweka Mikakati ya Kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko

Posted on: November 7th, 2023

Wilaya ya Ilala yaweka mikakati ya kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko katika Jamii. Hayo ameyabainisha Mkuu wa Wilaya ya Ilala leo Novemba 7, 2023 wakati akizindua mpango wa ugharibishaji wa huduma za chanjo ya magonjwa ya mlipuko katika Ukumbi wa Meya uliopo Arnatoglou Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mkuu wa Wilaya ya Ilala  Mhe. Edward  Mpogolo amesema "Tumeandaa utaratibu mzuri wa kupambana na adui wa afya kwani mpango huu wa uwezeshaji Jamii kutambua changamoto za kiafya na kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto hizo utafanyika kwa asilimia mia katika tarafa zetu za Segerea na Ukonga hivyo niwashukuru wadau wetu TIP na UNICEF kuwezesha chanjo hii pia niwaahidi tutasimamia kwa ukaribu zaidi zoezi hili na baada ya hapo tutafanya tathmini."

Sambamba na hilo Mhe. Mpogolo ameendelea kusema mpango huu umekua darasa zuri kwa Wilaya ya Ilala kusimamia miradi mingine hivyo kufanya mabadiliko kwenye sekta ya afya huku akihimiza kushirikiana na jamii ili kupata matokeoya chanjo kwa asilimia mia.

Akitoa Shukrani zake wakati wa uzinduzi huo Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Ndg. Jomaary Satura ameahidi kutekeleza yote yaliyoelekezwa huku akieleza kuwa Halamashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri itaendelea kuboresha huduma za afya na kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya na kwa wakati sahihi.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Dkt. Zaituni Hamza ameeleza kuwa “Uzinduzi wa chanjo hii ni mkakati wa kutokomeza magonjwa ya mlipuko hivyo tunaomba kushirikiana na viongozi wetu kuhakikisha mnasimamia Agenda ya Mheshimiwa Rais ya kutokomeza magonjwa ya mlipuko hasa kipindi hichi cha mvua hivyo tuhakikishe wananchi wanapata chanjo ya mlipuko ili kukabiliana na magonjwa ya milipuko pindi yanapotokea."

Naye Afisa Programu sehemu ya elimu ya afya kwa umma kutoka Wizara Afya Bw. Simon Nzilibili ameeleza kuwa afua ya uraghibishaji wa huduma za chanjo kwa viongozi wa kijamii imelenga kuhamasisha matumizi endelevu ya huduma za chanjo kwa watoto chini ya miaka 5 ambao hawajapata chanjo au hawajakamilisha chanjo ndani ya Wilaya ya Ilala walau asilimia 50 hadi Mwezi Desemba, 2023 kupitia mpango wa uwezeshaji jamii kutambua changamoto za kiafya na kuweka mikakati ya kukubaliana na changamoto hizo ambapo kwa Wilaya ya Ilala mpango huo utahusisha mitaa 131 ndani ya Tarafa za Ukonga na Segerea (70 Ukonga, 61 Segerea), WAJA 189 pamoja na wahudumu wa afya 189 huku jumla ya familia 259,200 sawa na asilimia 56.5 ya familia zote 458,614 zilizopo Wilaya ya Ilala zinatarajiwa kufikiwa.

Announcements

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • View All

Latest News

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • View All

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
More Videos

Quick Links

  • Former City Council Mayors
  • Motorcycle's Permit
  • Solid Waste Management
  • Smart Area
  • Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage
  • Beaches, Waterfronts and Islands
  • Cultural Arts and Traditions
  • Historical and Heritage building and sites
  • Public spaces, Garden and Sports

Related Links

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • State House
  • Ilala Municipal Council
  • Tanzania Information Services

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Postal Address: S.L.P 20950

    Telephone: 0738 378 386

    Mobile: 0738 378 386

    Email: info@dcc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclaimer
    • Sitemap

Copyright © 2017 Dar es Salaam City Council . All rights reserved.