Maombi ya upangishaji wa maeneo ya biashara, uwekezaji na huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi ya Abiria yaendayo mikoani na nje ya nchi katika eneo la Mbezi Luis yanafanyika kwa njia ya mnada wa mtandao kuanzia tarehe 09 hadi 25 Novemba, 2020 kupitia anuani: pangisha.tamisemi.go.tz
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 20950
Simu ya mezani: 2128800
Namba ya Mkononi:
Barua Pepe: info@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.