• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Baraza la Madiwani Jiji la DSM lajadili na kupitisha taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha Aprili hadi Juni 2022

Tarehe iliyowekwa: September 7th, 2022

Na: Muandishi wetu

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, leo tarehe 07 Septemba, 2022 limefanya kikao chake cha kawaida cha kupitisha taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 iliyoanza Aprili na kuisha Juni 2022.

Kikao hicho kilichoongozwa na Mstahiki Meya, Mhe. Omary Kumbilamoto kimefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Arnatouglou kilianza na ajenda ya maswali ya papo kwa papo ambapo madiwani wametaka kutambua ni lini Halmashauri itaweka mkakati mzuri wa kuwaondoa wamachinga pembezoni mwa barabara kwani inaonekana wamachinga hao wamerudi katika maeneo waliyoondolewa.

Akijibu swali hilo, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Bi. Tabu Shaibu amesema “tayari Halmashauri imefanya tathmini na wametafuta kampuni binafsi ambayo itasimamia zoezi hilo”.

Mbali na ajenda hiyo, hoja nyengine iliyojadiliwa ni kuhusu chanjo ya mifugo, ukarabati wa barabara ya kuingia machinjio na Halmashauri kuichukua timu ya mpira ya Dar City.

Aidha, ajenda nyingine ni uwasilishaji wa taarifa za utendaji kazi wa kamati za kudumu za Halmashauri ambazo ni kamati ya fedha na utawala, uchumi na huduma za jamii, mipango miji na mazingira na kamati ya kudhibiti UKIMWI, ambapo Baraza la Madiwani lilijadili na kupitisha taarifa hizo za robo ya nne ya mwaka wa fedha 2021/2022 iliyoanzia Aprili hadi Juni, 2022.

Naye, Meneja wa TARURA, Injinia Sylivester Chinengo akizungumza wakati wa kikao hicho cha Baraza la Madiwani alielezea juu ya ukarabati unaofanywa wa baadhi ya barabara zilizopo ndani ya Jiji la Dar es Salaam ambapo pia amemshukuru  Mkurugenzi wa Jiji kwa ajili ya kiasi cha shilingi bilioni 6.22 zilizotengwawa kufanikisha ukarabati wa barabara hizo “Kwa niaba ya TARURA naomba kumshukuru Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kwa kutuunga mkono katika kukarabati barabara zetu, kiasi hiki ni kikubwa na kitatusaidia kutoka hatua moja kwenda nyingine.” Amesema Chinengo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.