• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Ujenzi wa "High School" ya kisasa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam washika kasi

Tarehe iliyowekwa: September 27th, 2025

Unaweza kusema ni kama ndoto kwa wakazi wa kata ya Bonyokwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam mara baada ya kushuhudia ujenzi wa shule ya kisasa  ya kidato cha tano na cha sita ndani ya Halmashauri hii ukishika kasi.

Ujenzi huo wa shule ya ghorofa wenye thamani ya Shilingi Bilioni 2.7  unaojumuisha madarasa 53 na matundu ya vyoo 45 ambao mpaka sasa umefikia asilimia 52 unaelezwa na wakazi wa Kata hiyo kuwa mara baada ya kukamilika kwake utasaidia kupunguza adha ya watoto wao kufuata elimu mbali na eneo hilo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakazi hao wameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusikia kilio chao cha muda mrefu kuhusu kupatikana kwa shule ya aina hiyo katika kata yao.

'Hatuna la kusema kwa kweli huu ujenzi wa shule hii ulikuwa unatuumiza vichwa kuwa lini utakamilika, lakini sasa hivi ni kama tunaona ndoto tunavyoona mradi huu unavyoenda kwa kasi, tunamshukuru sana mama (Rais Dkt. Samia) ". Alisema Bi. Nasra Ayoub. 

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam Elihuruma Mabelya amesema ujenzi wa shule hiyo ya kisasa ambayo itakuwa na miundombinu rafiki kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu ikiwemo lifti umetekelezwa kwa makusanyo ya fedha za ndani za Halmashauri. 

Mradi huo unaotekelezwa na Mkandarasi kampuni ya Platnum Construction unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu ambapo kwa sasa umefikia hatua ya umaliziaji(finishing).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS - MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II September 17, 2025
  • PRACTICAL INTERVIEW RESULTS - DEREVA DARAJA II September 15, 2025
  • PRACTICAL INTERVIEW RESULTS - MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 15, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa "High School" ya kisasa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam washika kasi

    September 27, 2025
  • "Mkafanye suluhu kwa amani na haki" - DC Mpogolo

    September 26, 2025
  • Mkurugenzi Jiji la DSM aahidi kuchangia ujenzi Shule ya Sekondari Jitegemee

    September 26, 2025
  • RC Chalamila azitaka Halmashauri za Mkoa wa DSM kuanzisha timu za mpira wa miguu

    September 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.