• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC Mpogolo atoa wito kwa wanawake kuepuka mikopo yenye masharti kandamizi

Tarehe iliyowekwa: July 28th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, ametoa wito kwa wanawake wa Wilaya ya Ilala kuepuka mikopo kutoka taasisi za kifedha zenye masharti kandamizi, akibainisha kuwa mikopo hiyo imekuwa chanzo cha migogoro ya kifamilia na kuwakwamisha kiuchumi.

Wito huo umetolewa katika kongamano la uelimishaji kwa vikundi juu ya mikopo ya asilimia kumi kupitia mfumo jumuishi, lililowakutanisha wanawake kutoka kata 36 za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Mheshimiwa Mpogolo amesema mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam haina riba na inalenga kuwawezesha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kujikwamua kimaisha. “Mikopo hii itatolewa kwa uwazi na kwa kufuata utaratibu mpya ulioidhinishwa na Rais Samia Suluhu Hassan, ambao unahakikisha waombaji wote wanazingatia sifa, uthibitisho na uwajibikaji. Hivyo wanawake, mlango uko wazi,” alisema.

Ameongeza kuwa zaidi ya vikundi 440 kati ya 945 vilivyoomba mikopo hiyo tayari vimekidhi vigezo na vinatarajiwa kupokea fedha ndani ya siku saba. Amesisitiza kuwa Serikali itaendelea kuhamasisha utoaji wa mikopo hiyo kwa uwazi na usawa kwa vikundi vyote vinavyostahili.

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, Bw. Charangwa Selemani, amesema baadhi ya vikundi vilichelewa kupokea mikopo kutokana na changamoto kama ukosefu wa uhalisia wa miradi, taarifa zisizo sahihi, na uzoefu mdogo wa biashara. Wanawake walioshiriki kongamano hilo walieleza shukrani zao kwa Rais Samia kwa kuendeleza mpango huo wa kuwawezesha wananchi kiuchumi.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2025 July 08, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA February 28, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC Mpogolo atoa wito kwa wanawake kuepuka mikopo yenye masharti kandamizi

    July 28, 2025
  • Majiji ya DSM na Dallas yasaini makubaliano ya kuwa Majiji Dada

    July 22, 2025
  • Diplomasia ya kiuchumi yaendelea kuzaa matunda Tanzania

    July 21, 2025
  • Jiji la DSM lapokea ugeni kutoka CAMFED Tanzania

    July 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.