• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Diwani wa Kata ya Gongolamboto afungua Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Ulongoni A

Tarehe iliyowekwa: September 30th, 2023

Diwani wa Kata ya Gongolamboto Mhe. Lucas Rutainurwa leo Septemba 30, 2023 amefungua jengo la ofisi ya Serikali ya Mtaa Ulongoni-A lenye thamani ya shilingi milioni 19.4 fedha ya Mkuza wa bomba la gesi (TPDC), Mfuko wa Jimbo pamoja na fedha kutoka kwa wahisani mbalimbali.

Akiongea kwa niaba ya Waziri wa Ardhi Mhe. Jerry Silaa (Mb), Diwani wa Kata ya Gongolamboto Mhe. Lucas Rutainurwa amesema “Nipende kutoa Shukrani zangu kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Ulongoni - A kwa kazi Nzuri aliyoifanya ya kusimamia ujenzi huu bila kuwasahau wadau wote wa Maendeleo waliochangia kukamilika kwa ujenzi huu ikiwemo Ofisi ya Mbunge Jimbo la Ukonga pamoja na Mkuza wa bomba la gesi ( TPDC) kwani wadau hawa wameonesha juhudi kubwa sana za kuchochea maendeleo ya nchi yetu kwani maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuona wadau wanakua chachu ya kuchochea Maendeleo ya nchi yetu”.

Aidha Mhe. Lucas ametoa wito kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaaa mingine kuhakikisha wanafanya kazi kwa uadilifu na uwajibikaji lengo likiwa ni kuhakikisha Wananchi wanapata huduma muhimu kwa wakati.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Bi. Tabu Shaibu amewashukuru viongozi wa Serikali za Mitaa kwa uwajibikaji walioufanya hadi kukamilisha ujenzi wa jengo la Serikali ya Mtaa wa Ulongoni A huku akiwahakikishia Ofisi ya Mkurugenzi kutekeleza ipasavyo yote waliyoomba.

“Kutokana na uwajibikaji wenu mliouonesha katika kukamilisha ujenzi wa ofisi hii ni dhahiri kwamba fedha takribani milioni 20 zilizotengwa kwaajili ya ukamilishaji wa jengo hili zitatumika vyema kulingana na matumizi hivyo tuendelee kulipa kodi kwa Maendeleo ya Halmashauri yetu na nchi kwa ujumla”.

Sambamba na hilo Bi. Tabu Shaibu amewakumbusha Wananchi wa Mtaa wa Ulongoni A kufika ofisi za Kanda namba tano zilizopo Kata Gongolamboto kwani huduma zote zinapatikana katika ofisi hizo ikiwemo utoaji wa leseni, vibali vya ujenzi pamoja na huduma nyingine muhimu.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Ulongoni A Bw. Abraham Munisi Ameeleza kuwa “Ofisi hii ya Serikali ya Mtaa imetekeleza kwa Fedha takribani shilingi bilioni 19.4 kutoka kwa wadau mbalimbali pia nipende kutoa shukrani zangu kwa Mkurugenzi wa ABC Capital kwa kutuachia jengo lake kwa miaka 8 bila kutudai kodi huku mwananchi Oes Nyasi akitoa eneo lake mwaka 2009 kwaajili ya ujenzi wa Serikali ya Mtaa hii inaonyesha jinsi gani wadau wa maendeleo wanavyounga mkono jitihada za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kukuza uchumi kwa maendeleo ya nchi yetu”.

Sambamba na Hilo Bw. Munisi ameiomba ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam fedha kwaajili ya ukamilishaji wa ofisi kwani Ofisi imebakiza vitu vichache kukamilika.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.