Ikiwa ni siku ya nne ya Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Uvuvi (Nanenane) Elimu kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 imeendelea kutolewa ndani ya banda la Jiji la Dar es salaam na Bi. Oliver Abraham Mwashiuya, Afisa kutoka ofisi ya Uchaguzi ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Karibu utembelee Banda la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika Maonesho ya Nanenane, Kanda ya Mashariki kuanzia Agosti 01 hadi 08, 2025 Katika Viwanja vya Mwl. Nyerere, Mkoani Morogoro.
Kauli Mbiu: “CHAGUA VIONGOZI BORA KWA MAENDELEO ENDELEVU YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI 2025”
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 20950
Simu ya mezani: 0738 378 386
Namba ya Mkononi: 0738 378 386
Barua Pepe: info@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.