• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Fursa za uwekezaji Dar ea Salaam zavutia Wachina

Tarehe iliyowekwa: July 3rd, 2018

Fursa za uwekezaji nchini zinaendelea kufungua milango na kuwavutia wawekezaji kutoka nchini China kuanzisha uhusiano na Jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kuwekeza, kufanya biashara na kazi za ujenzi miundombinu mbalimbali katika Jiji la Dar es Salaam.

Naibu Meya wa Jiji la Liuzhou, Mheshimiwa Liu Ke, ambaye ametembelea Tanzania akiongoza ujumbe wa watu saba ambao ni wafanyabiashara na maafisa wa Halmashauri ya Jiji la Liuzhou, ameieleza Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwamba Tanzania ina fursa nyingi katika sekta ya biashara na ujenzi, hususan katika Jiji la Dar es Salaam, ambazo wafanyabiashara na wananchi wa Liuzhou ingependa kuzitumia kwa kuwekeza na kufanya kazi mbalimbali za ujenzi wa miundombinu kama barabara, reli, majengo ya aina mbalimbali na kutoa misaada itakayohitaji katika Jiji la Dar es Salaam.

Ameeleza kwamba Jiji la Liuzhou ambalo lina wakazi milioni nne limepiga hatua kubwa ya maendeleo katika sekta mbalimbali hasa biashara, viwanda vya magari na utengenezaji wa chuma. Kutokana na teknolojia kubwa waliyonayo, Naibu Meya huyo amesema kwamba kwa sasa Liuzhou inafanya maandalizi ya kutengeneza magari yatakayotumika bila kuwa na madereva baada ya kufanikiwa kutumia nishati ya umeme kwa uendeshaji wa magari yao.

Mheshimiwa Liu Ke alitumia fursa ya ziara yake Dar es Salaam kujikumbusha historia ya uhusiano ulioimarika kati ya China na Tanzania akirejea kumbukumbu za ujenzi wa reli ya Tanzania-Zambia (TAZARA). Kiongozi huyo amemkaribisha Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita na ujumbe wake kutembelea Jiji la Liuzhou kukamilisha taratibu za kuanzisha Uhusiano wa Miji Dada kati ya Dar es Salaam na Liuzhou.

Kwa niaba ya Halmashauri ya Jiji na wakazi wa Dar es Salaam, Mstahiki Meya wa Jiji, Isaya Mwita, alimuhakikishia Naibu Meya huyo kwamba kutokana na urafiki wa kudumu wa Tanzania na China ulioasisiwa katika misingi ya urafiki wa dhati,  Dar es Salaam ipo tayari kushirikiana na Liuzhou na kukubali miji hiyo kuwa na Uhusiano wa Miji Dada.

Mstahiki Meya Mwita amekubali kuongoza ujumbe wa viongozi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam kutembelea Jiji la Liuzhou. “Wananchi wa China na sisi Watanzania tumetofautia rangi tu, lakini roho zetu zimejaa upendo wa dhati unaoimarisha urafiki wa Tanzania na China,” alisema Mstahiki Meya Mwita alipokuwa akiukubali mwaliko wa kutembelea Jiji la Liuzhou.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.