• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam yaadhimisha Siku ya Chakula Duniani

Tarehe iliyowekwa: October 16th, 2023

Uongozi wa Kata ya Kipunguni kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi wameandaa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani iliyofanyika katika viwanja vya Moshi Bar Kata ya Kipunguni Jijini Dar es Salaam sambamba yenye kaulimbiu isemayo ‘Maji ni Uhai, Maji ni Chakula, hakuna wakuachwa nyuma’ ikiwa na lengo la kuhimiza umuhimu mkubwa wa maji katika ardhi na kuwa maji ni msingi mkubwa katika chakula chetu.

Akizungumza katika hafla hiyo mgeni rasmi ambaye ni Diwani wa Kata ya Kipunguni Mhe. Stephen Mushi ameeleza kuwa “Siku ya chakula duniani imekua agenda muhimu ya kuondoa njaa katika Mataifa kwani siku hii imeendelea kusimamia usala wa chakula Duniani kote hasa wakati wa majanga hivyo baada ya kutembelea mabanda na kujionea namna lishe bora inaneemesha afya nitoe wito kwa Walimu kuhakikisha Shule za Msingi na Sekondari wanaenda kutumia unga wa lishe ili kupunguza hali ya udumavu na uelewa mdogo wa kufikiri kwa Wananfunzi kwani juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuhakikisha watoto wanapata mlo kamili kwa afya na ukuaji wa akili zao kwa ujumla.”

Sambamba na hilo Mhe. Mushi alitoa shukrani zake kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kushirikiana na uongozi wa Kata yaKipunguni kuwezesha maadhimisho ya siku ya chakula Duniani ambayo yataenda kuleta mabadiliko kwa jamii.

Awali akiongea wakati wa hafla hiyo Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Bi. Sije Libe ameeleza kuwa “Maadhimisho haya yanatoa fursa ya kutambua mchango muhimu unaotolewa na wakulima wadogo wadogo, jamii za wavuvi na wafugaji katika maendeleo endelevu na katika kutimiza mkakati wa kutokomeza njaa kupitia mifumo endelevu ya chakula hivyo nitoe wito kwa wananchi msimu huu wa vuli ambao mvua zake ni za muda mfupi muhakikishe mnachagua mbegu zinazostahimili ukame na za muda mfupi ili muweze kupata chakula kani tutapata kuepuka madhara ya lishe duni pindi tutakapozalisha mazao bora na kwa wakati sahihi.”

Siku ya Chakula Duniani huadhimishwa kila tarehe 16 Oktoba ikizingatia suala la njaa na mustakabali wa chakula, watu na Dunia kwa siku zijazo.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.