• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Halmashauri ya Jiji la DSM yaendelea kupiga hatua katika kupambana na kasi kudhibiti VVU na UKIMWI

Tarehe iliyowekwa: May 3rd, 2023

Halmashauri ya Jiji la DSM imeendelea kupiga hatua katika kudhibiti maambukizi mapya ya VVU na UKIMWI kwani upimaji wa hiari wa Maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU), umeongezeka Katika Jiji la Dar es Salaam.

Hayo yamebainishwa Leo Mei 03, 2023 Jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Arnatouglou wakati wa muendelezo wa mafunzo kwa Baraza la Madiwani yenye lengo la kuwajengea uwezo wa namna ya kupambana na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ili kuweza kufikisha elimu kwa Wananchi wao.

Akiwasilisha mada mbalimbali za Hali halisi ya VVU na UKIMWI pamoja na huduma zinazotolewa, Mratibu wa kudhibiti UKIMWI wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Dkt. Aisha Zuheri ameeleza kuwa “Takwimu zinaonesha namna gani Mkoa wa Dar es Salaam umepiga hatua kubwa kwani maambukizi yameweza kushuka mpaka asilimia 4.7 huku Jiji la Dar es Salaam ikifikia asilimia 108.2% ya kufubaza UKIMWI. Pia dadi ya waliopima na kuandikishwa katika kliniki imefikia jumla ya watu 70,261."

Sambamba na hilo Madiwani hao waliweza kufundishwa matumizi sahihi yakutumia kondomu kama njia mojawapo ya kupunguza maambukizi ya Virusi ya UKIMWI.

Kwa upande wake Mratibu wa VVU na UKIMWI Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (CHAC) Ndg. Barnabas Kisai akiwasilisha mada ya Wajibu na Majukumu ya Kamati ya Kudhibiti UKIMWI ameweza kuwakumbusha Madiwani kuhakikisha wanafuatilia kwa ukaribu zaidi Kamati za Kata kutekeleza majukumu yao ili kuhakikisha elimu zinawafikia wananchi na maambukizi kupungua zaidi ya hapo awali.

Naye Mwenyekiti wa Baraza la Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (KONGA) Bw. Emmanuel Reubent Msinga, ameishukuru Serikali kwa kuwajali wanaoishi na virusi vya Ukimwi kwani kupitia mikopo ya asilimia 10% ya mapato ya ndani ya Halmashauri kiasi cha shilingi kimetolewa kwaajili ya kuwasaidia Waviu kwaajili ya kufanya shughuli mbalimbali za kiijamii.

“Tunaishukuru Serikali inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kutujali sisi watu tunaoishi na virusi vya UKIMWI kwani kupitia mkopo wa asilimia 10% za mapato ya ndani ya Halmashauri vikundi 5 vimeweza kupewa mkopo wa shilingi ambao husaidia kutekeleza miradi mbalimbali tuliyoianzisha na kuhamasisha wanafunzi namna ya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI hivyo kwa niaba ya wanakonga wenzangu tutahakikisha tunashirikiana na serikali katika mapambano dhidi ya UKIMWI.” ameeleza Bw.Msinga.

Akifunga mafunzo hayo Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Mhe. Ojambi Masaburi amesema “Nipende kuwashukuru wawezeshaji wote mliowezesha mafunzo haya pamoja na madiwani wote mlioshiriki katika mafunzo hayo kwani elimu mliyopewa ni kubwa sana na niimani yangu mtapeleka elimu kwa Wananchi wetu na maambukizi yatazidi kupunguza kwa asilimia kubwa zaidi.”

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.