• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Halmashauri ya Jiji la DSM yafanya usafi wa Mwisho wa Mwezi kwa Ngazi ya Kanda

Tarehe iliyowekwa: October 28th, 2023

Katika kutekeleza agizo la Serikali la kufanya usafi kila mwisho wa mwezi pamoja na kuendeleza na kutekeleza Kampeni ya Safisha, Pendezesha Dar es Salaam, leo Oktoba 28, 2023 Viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wameshiriki zoezi la usafi katika Kanda namba 1 na namba 2 ambapo kwa upande wa Kanda namba 1 usafi umefanyika kwenye Barabara ya Kalenga/Mindu huku Kanda namba 2 usafi ukifanyika kuanzia Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Soko la Machinga Complex pamoja na Barabara ya Kawawa maeneo ya Reli ya Kisasa ya SGR.

Zoezi hilo lililoongozwa na Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi akiambatana wakuu wa Kanda, Meneja wa Soko la Machinga Complex, Watumishi kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, wadau mbali mbali wa usafi wakiwemo Wejisa Company Limited , Kajenjere Trading Company Limited, Sateki Trading Limited, Umoja wa wafanyabiashara biashara wadogowadogo maarufu kama machinga pamoja na Wananchi.

Akiongea wakati wa zoezi hilo Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti Taka na Usafi Ndg. Rajabu Ngoda amewashukuru wadau wote walioshiriki zoezi la usafi huku akitoa wito kwa wananchi kufanya usafi kama sehemu ya maisha yao ya kila siku kwani mazingira yakiwa safi na afya zetu pia zitakua safi na kuepukana na magonjwa mbalimbali ya mlipuko.

Kwa upande wake Meneja wa Kanda namba mbili Bw. Iddi Lameck ameeleza kuwa “Kama ilivyo ada kila mwisho wa mwezi lazima tufanye usafi katika mazingira yetu hivyo sisi kam kanda baba mbili tumefanya usafi kuanzia Ofisi za Mkuu wa Mkoa Machinga Complex na Barabara ya Kawawa hususani maeneo ya Reli ya Kisasa SGR pia nipende kuwaasa wananchi wafanye usafi kila siku bila kusubiri mwisho wa mwezi ili mazingira ya Jiji letu yawe safi kila siku”.

Naye Meneja wa Soko la Machinga Bi. Stella Mgumia ameshukuru kuanzisha kwa kampeni hii ambayo imefanya Jiji la Dar es Salaam kuwa Safi huku akiwataka viongozi wa Kanda kuwapanga wafanyabiashara wanaoweka vibanda pembezoni mwa barabara katika maeneo yasiyo rasmi kwani viwanda hivyo huwa vinahifadhi takataka nyingi ambazo zinakua kikwazo katika kuthibiti suala la usafi na mazingira ya Jiji letu pia amependekeza kuwa na ushindani wa kila Kanda katika kufanya usafi kwani ushindani huo utapelekea maeneo kuwa safi na mazuri.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.