• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Huduma za Kibiashara kuwafikia wafanyabiashara walipo

Tarehe iliyowekwa: September 18th, 2023

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Divisheni ya Viwanda, Biashara naUwekezaji inaendelea kuhakikisha huduma za kibiashara hususani utoaji wa leseni za biashara zinawafikia wananchi kwa wakati na mahali walipo, hayo yamebainishwa leo Septemba 18, 2023 na Mkuu wa Divisheni hiyo wakati wa zoezi la utoaji wa leseni kwa wafanyabiashara wa Kariakoo.

Akiongea wakati wa zoezi hilo litakaloendeshwa kwa mwezi mmoja, Mkuu wa Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Bw. Nickas Msemwa ameeleza kuwa Halmashauri ya Jiji la DSM imedhamiria kutoa huduma bora kwa wananchi na kwa ukaribu zaidi kwani wameweza kuanzisha kanda saba za kutolea huduma pamoja na kutoa leseni kwa wafanyabiashara kwa kuwafuata katika maeneo yao ya biashara.

Sambamba na hilo Bw. Msemwa ameesema “Zoezi hili limedhamiria kuwafikia wafanya Wafanyabiashara zaidi ya elfu 15 kwa Kariakoo ambao mpaka sasa wafanyabiashara elfu nane bado hawajapata leseni hivyo mpango mkakati huu wa kuleta huduma karibu yao utasaidia kukamilisha zoezi hili ambapo kwa Kariakoo zoezi hili litaendelea kwa muda wa mwezi mmoja baada ya hapo tutaelekea kanda za pembezoni ila ikumbukwe kuwa utoaji huu wa leseni umeambatana na elimu ya jinsi ya kujisajili kwenye mfumo na namna gani ya kutumia mashine zetu katika utoaji wa risiti hivyo nitoe wito kwa wafanyabiashata wote kutumia fursa hii kujipatia leseni ya biashara papo hapo bila kusubiri na kwa Wafanyabiashara wote wenye taarifa hizi wafike maeneo ya huduma ili wapate leseni zao pamoja na elimu kwa ujumla.”

Akitoa wito kwa Wafanyabiashara wenzake Bw. Julius Joseph Lullenge ametoa shukrani zake kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na wataalamu wake kwa kuona tija kuhusu swala la leseni na kuwasogezea huduma hiyo karibu huku akiwahimiza wafanyabiashara wenzake kufika eneo la utoaji huduma na kupata elimu ya namna ya kutumia mashine kwani yeye amefika mahali hapo na ameweza kuelekezwa namna ya kutoa risiti kwa kutumia mashine za EFD na kuweza kuelewa pia ametoa wito kwa wafanyabiashara wenzake kutumia fursa kwa kupata leseni papo hapo na kujifunza kwa ujumla.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.