Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam yaweka mikakati madhubutu ya kushinda Mashindano Ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania ( UMITASHUMTA) Yaliyoanza April 29, 2025 kwa ngazi ya Kata, hayo yamebainishwa na mratibu wa Michezo ya UMITASHUMTA Jiji la Dar es Salaam Mwl. Charles Ndilime wakati wakiendelea na mazoezi ya kujifua kisawasawa kwaajili ya mashindano hayo kwenya viwanja vya Shule ya Msingi Nguvu Mpya iliyopo Chanika.
1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM
Anuani ya Posta: S.L.P 20950
Simu ya mezani: 0738 378 386
Namba ya Mkononi: 0738 378 386
Barua Pepe: info@dcc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.