• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Jiji la DSM wapatiwa mafunzo ya utekelezaji wa Mradi wa Kijana Nahodha

Tarehe iliyowekwa: March 2nd, 2023

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na Wataalamu wa Sekta ya Elimu na Maafisa Maendeleo ya Jamii, leo tarehe 02 Machi, 2023 wameshiriki katika kikao kazi cha uhamasishaji jamii kwa ajili ya mafunzo kupitia mradi wa Kijana Nahodha, unaotekelezwa kwa Halmashauri Tatu (3) kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Akiongea katika kikao hicho Meneja Mradi Kijana Nahodha kutoka T-MARC Ndugu Upendo Laizer ameeleza kuwa Mradi wa kijana Nahodha ni mradi uliozinduliwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Dtk. Hussein Mwinyi, utadumu kwa kipindi cha miaka Mitano (5) kuanzia Septemba, 2022 hadi Agosti 2026.

“Mradi huu unatekezwa na Shirika la T-MARC wakishirikiana na CARE Tanzania, Tanzania Youth Coalition (TYC), Y-LABS chini ya Shirika la Kimataifa kutoka Marekani (US AID) ambao umelenga kuwasaidia vijana kuanzia miaka 15 hadi 25 kutoka Zanzibar na Tanzania ambao walikatisha ndoto zao za masomo kwa matatizo mbalimbali.”

Ameeleza Ndugu Upendo Laizer Sambamba na Hilo Mradi wa Kijana Nahodha umelenga kutekelezwa katika Mikoa miwili ambayo ni Morogoro na Dar es Salaam ambapo kwa Dar es Salaam Mradi huu utatekelezwa katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kwani katika utafiti maeneo haya yameoneka kuwa na vijana wengi zaidi ambao wanaishi katika mazingira magumu na hatarishi.

Naye Meneja Mradi Kijana Nahodha kutoka Care International Ndugu Samwel Chambi ameeleza kuwa “Mradi umeandaa vikao kazi kwa lengo la kuzindua rasmi uhamasishaji jamii ili kuwatambua na kuwaandikisha vijana katika vituo vya mafunzo ya serikali ya muda mfupi yaani Open School au QT katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa vijana wenye mahitaji maalumu, mazingira magumu, yatima, pamoja na wale wanaoishi na Virusi vya UKIMWI watapatiwa ufadhili ili kuweza kutimiza adhma yao ya kupatiwa elimu na ujuzi hivyo tunategemea mchango wenu kwa kuwahamasisha wanajamii waweze kuwaandikisha vijana hao katika ofisi za Serikali za Mitaa ili waweze kupata ufadhili huo wa masomo na ujuzi kwa lengo la kupata elimu na kuendeleza ndoto zao.”

Sambamba na hilo Ndugu Chambi ameeleza kuwa kutakua na zoezi la uhamasishaji ambalo litafanyika tarehe 08 na 09 Machi 2023 katika Kata zote za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kuhamasisha zoezi hilo na kuweza kupata vijana hao.

Akiahirisha kikao hicho Mwenyekiti wa Kikao Mhe. Robert Manangwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, amesema Nipende kutoa Shukrani zangu za dhati kwa waandaaji wa mradi huu kwa kuweza kuichagua Halmashauri yetu kati ya Halmashauri tatu zilizopendekezwa Nimatumaini yangu tutaenda kuutangaza huu mradi kwa wananchi wetu na tunawaahidi ushirikiano katika kutekeleza vyema mradi huu wa Kijana Nahodha.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.