• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la DSM ahitimisha mafunzo ya Viongozi wa Wafanyabiashara Soko la Machinga Complex

Tarehe iliyowekwa: January 28th, 2023

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Eng. Amani Mafuru leo tar 28 Januari, 2023 amehitimisha mafunzo ya siku mbili ya Viongozi wa Wafanyabiashara wa Soko la Machinga yaliyoanza siku ya jana.

Akizungumza na Viongozi hao, Eng. Mafuru amesema amefarijika kuona wataalamu wakiwafundisha Wafanyabiashara hao uongozi na masuala mazima yanayohusiana na Fedha huku akiwataka wafanyabiashara hao kulipa kodi kwa wakati na kuwahaidi Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam itaongeza vituo vya kulipa kodi ili kupunguza kwenda umbali mrefu.

"Nafarijika sana nikiona sisi wote kwa pamoja tunafanya kazi kwa kushirikiana ili kuhakikisha kwamba Serikali inatimiza malengo yake ambayo imeyaweka na moja ni pamoja na semina hii" Amesema Eng. Mafuru.

Aidha, Eng. Mafuru amemshukuru Rais Samia kwa kuweza kutoa fedha kwa ajili ya ukarabati wa Soko la Kariakoo na kusema tayari wameanza ujenzi wa Soko jingine jipya ili kuwe na uwiano wa idadi kubwa ya Wafanyabiashara waliopo na ukarabati wa soko la zamani la Kariakoo pamoja na Soko jipya unaridhisha kwani umefikia hatua nzuri.

"Mhe Rais amefanya jambo la kihistoria. Haikutarajiwa kama kutaweza kuwepo Soko lenye ghorofa nane, ghorofa sita kwenda juu na ghorofa mbili kwenda chini. Mkuu wa Mkoa alipewa wajibu wa kuhakikisha kwamba suala la Biashara na Wafanyabiashara katika Jiji la Dar es Salaam linafanyika bila kuleta athari ambapo moja ya maelekezo aliyotoa ni kuhakikisha Wafanyabiashara wanapewa elimu kama ambayo tumefanya leo.” Amesema Eng. Mafuru.

Aidha, Bi. Habiba Rajabu ambaye ni mfanyabiashara katika Soko la Machinga Complex amekiri Soko hilo kwa sasa linafikika kirahisi na watu wameweza kutambua uwepo wake na kupelekea Wafanyabiashara toka nchi jirani kulifahamu na kuja kufanya biashara kwenye Soko hilo.

Naye, Bw. Juma Malecha, Mwenyekiti wa Umoja wa Wafanyabiashara Walemavu Mkoa wa Dar es Salaam aliishukuru Halmashauri ya Jiji la Dar esa Salaam chini ya Kaimu Mkurugenzi Eng. Amani Mafuru na uongozi mzima wa Machinga Complex kwa kuweka miundombinu rafiki kwa ajili ya walemavu.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.