• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kamati ya Kudhibiti UKIMWI Halmashauri ya Jiji la DSM wafanya ziara ya Kukagua miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na WAVIU

Tarehe iliyowekwa: May 10th, 2023

Kamati ya kudhibiti Ukimwi Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, leo tarehe 10 Mei ,2023 wamefanya ziara ya kutembelea na kukagua shughuli za kilimo na ufugaji zinazofanywa na kikundi cha ‘Upendo Kwa Wote’ kilichopo Chanika Jijini Dar es Salaam.

Akiongea wakati wa ziara hiyo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudhibiti UKIMWI Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Mjumbe wa Kamati hiyo Mhe. Aidan Kwezi amesema “Nipende kuwashukuru sana wanakikundi wa Upendo kwa wote kinachosimamiwa na KONGA (Baraza la Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi Wilaya) kwani wamekua wakifanya vizuri sana hadi kutupelekea Leo hii kuja kukagua miradi Yao japo ni sehemu ya majukumu yetu lakini pia kutambua mchango wao katika kutoa elimu kwa umma juu ya kudhibiti maambukizi mapya ya VVU na UKIMWI hivyo ziara hii ni sehemu ya utekelezaji wa miradi pamoja na kuhakikisha huduma zote zinazotolewa kwa Waviu zinatekelezwa katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2022/2023 ulioanza Januari hadi Machi 2023."

Aidha Mhe. Kwezi ameendelea kusema “Ziara yetu imekua na mafanikio zaidi kwani kikundi cha Upendo kwa Wote kimekua na mafanikio makubwa sana hivyo niwapongeze watendaji wote kwa ufuatiliaji wa karibu huku tukiwaahidi kutatua changamoto zao ikiwemo fidia ya shamba pamoja na changamoto ya maji kwani tukitekeleza hayo kikundi hicho kitakua ni darasa la watu wengine kujifunza."

Sambamba na Hilo Mhe. Kwezi ametoa wito kwa vikundi vingine vya WAVIU kuiga Mfano wa kikundi cha Upendo kwa wote kwani juhudi zao zilizoonekana ni dira kwa vikundi vingine kujifunza mengi zaidi.

Awali akiwasilisha taarifa kwa wajumbe wa Kamati ya Kudhibiti Ukimwi Katibu wa kikundi cha Upendo kwa wote Bi. Joyce Lyimo ameeleza kuwa Kikundi cha upendo kwa wote kilichoanzishwa mwaka 2015 na kusajiliwa mwaka 2019 kikiwa na wanakikundi 10 ambao ni akina mama WAVIU walioamua kujiunga pamoja kwa lengo la kujiinua kiuchumi kupitia ujasiriamali.

Sambamba na hilo Bi. Joyce ameeleza kuwa “‘Kikundi cha Upendo’ kwa wote kinajishughulisha na shughuli za kilimo, ufugaji, ukaushaji wa matunda, utoaji wa elimu ya ujasiriamali kwa jamii pamoja na kutoa elimu ya VVU na UKIMWI kwa jamii hivyo tunatoka shukrani zetu kwa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii pamoja na wajumbe wote wa Kamati ya kudhibiti UKIMWI kwa kutambua umuhimu wetu hadi kwani mkopo wa asililimia10% ya mapato ya ndani ya Halmashauri umekuwa msaada mkubwa sana kuwezesha shughuli zetu hivyo tunawaahidi tutaendelea kuhamasisha wananchi wengine kupata elimu zaidi juu ya VVU na Ukimwi huku wakitambua kuwa kuishi na VVU sio mwisho wa maisha.”

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.