• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kamati ya Mipango Miji Jiji la DSM yafanya ukaguzi wa Mazingira Viwandani

Tarehe iliyowekwa: February 14th, 2023

Kamati ya Mipango Miji na Mazingira Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, imefanya ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo pamoja na usafi wa mazingira karika viwanda ikiwa ni moja ya majukumu ya Kamati hiyo kuhakikisha Jiji linakuwa katika hali ya Usafi, Ziara hiyo ni ya kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2022/2023 ulioanza Oktoba hadi Desemba 2022.

Wakiwa kwenye ziara hiyo, Kamati iliweza kutembelea na kukagua maeneo mbali mbali yanayosimamiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ikiwemo Barabara ya nje katika Soko la Buguruni ambapo hali ya barabara hiyo hairidhishi na inahitaji matengenezo kwani kuna Wananchi wamejenga frem juu ya Mitaro ya kupitishia maji hivyo kufanya maji kutuhama.

Aidha, Kamati hiyo pia ilikagua usafi wa mazingira katika Viwanda na kuangalia mazingira ya ufanyaji kazi viwandani ambapo waliweza kutembelea kiwanda cha pasta, kiwanda cha madaftari pamoja na Kampuni ya uuzaji wa vifaa vya ujenzi (Kamaka Company Limited)

Kwa upande mwingine Kamati iliweza kiutembelea maeneo ya Dengu Beach kuona namna ambavyo bomba la maji ya mvua ambalo hutiririsha maji taka maeneo hayo ambapo kiasi cha shilingi millioni 4 kilitolewa kwaajili ya kufanya ukarabati kwa kuondoa mchanga ili bomba la maji ya mvua linalotiririsha maji taka maeneo ya Dengu beach kuelekezwa baharini.

Aidha Kamati imeridhia iundwe Kamati ndogo ya mazingira ambayo itakua inafanya ziara za kukagua mazingira kila mwezi kwani maeneo mengi viwandani hayaridhishi kabisa hivyo Kamati hiyo itakuwa ni moja ya mafanikio katika utunzaji wa mazingira na kupunguza athari za kimazingira kwa wananchi.

Naye, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Nyansika Motema akifanya majumuisho ya ziara hiyo amesema, "Leo tumetembelea baadhi ya miradi inayosimamiwa na kutekelezwa na Halmashauri ya Jiji la DSM ambapo tumeweza kuridhishwa na utekelezaji huo japo kuna marekebisho madogomadogo yakukamilisha hususani katika suala zima la utunzaji wa mazingira kwa baadhi yamaeneo ya viwandani na baadhi ya maeneo yanayotiririsha maji machafu yafanyiwe utekelezaji"

Sambamba na hilo Mhe. Nyansika ameendelea kusema, "Ziara yetu imekua na mafanikio makubwa kwani tumeweza kutembelea baadhi ya viwanda vinavyosimamiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambapo tumejionea Hali halisi ya mazingira jinsi yaliivyo katika viwanda vyetu kwani hali ya usafi hairidhishi kabisa hata hivyo sisi kama Kamati ya Mipango miji na Mazingira tunaelekeza viwanda vyote tulivyoviona haviko katika hali ya usafi kama kiwanda cha Madaftari (Five Stars) pamoja na Kamaka company Limited wachukuliwe hatua za kisheria kwakushindwa kutunza mazingira.”

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.