• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Jiji la DSM chaongezewa vifaa kuboresha Utoaji wa Taarifa

Tarehe iliyowekwa: August 26th, 2024

Katika kuhakikisha Halmashauri ya Jijj la Dar es Salaam inaendelea kuhabarisha Umma kuhusu miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Jiji hilo leo Agosti 26, 2024 Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Ndg. Elihuruma Mabelya amekabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi Milioni 36.4 kwa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikali lengo likiwa ni kuboresha utoaji wa taarifa kwa  Wananchi kwa kuhakikisha taarifa muhimu za utekelezaji wa Miradi zinawafiki kwa wakati.

Akikabidhi Vifaa hivyo kwa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Ndg. Mabelya ameeleza kuwa “Lengo kubwa la Halmashauri yetu ni kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jiji letu inafahamika kwa wananchi hivyo ni matumaini yangu vifaa hivi ninavyovikabidhi leo vitakwenda kuongeza nguvu katika kazi za kuhabarisha Umma pia niwahakikishie ushirikiano katika kuhakikisha tunaitangaza miradi inayotekelezwa katika Jiji letu ili wananchi waweze kuifahamu kwa ukaribu zaidi”.

Sambamba na hilo, Ndg. Mabelya ametoa pongezi kwa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini kwa kazi wanazozifanya huku akisisistiza kuendelea kuhakikisha habari za utekelezaji wa miradi zinawafikia Wananchi kwa wakati ili waweze kuifahamu miradi hiyo.

Awali akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini  Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Tabu Shaibu ameeleza kuwa “Tunamshukuru Mkurugenzi wetu kwa vifaa alivyotukabidhi leo kwani vifaa hivi vinaenda kuwa chachu ya kukibadilisha kitengo chetu kwa kufanya kazi zenye ubora zaidi hivyo tunaahidi ushirikiano na uboreshaji wa kazi zetu  kwa kuhakikisha taarifa zote muhimu zinawafikia Wananchi kwa wakati pia tunakuhakikishia kufanya kazi kwa viwango unavyovitaka na tukuhakikishie vifaa hivi tutavitunza na kuvithamini”.

Naye Mkuu wa Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Bw. Selemani Kateti ametoa shukurani zake kwa Mkurugenzi wa Jiji kwa kununua vifaa hivyo ambavyo vitaenda kuwa chachu ya kirahisisha utoaji wa habari kwa Wananchi huku akitoa wito kwa watumishi wa Jiji la Dar es Salaam kuwa wazalendo kwa kuifuatilia mitandao yote ya kijamii  hii ikiwa ni kutambua kazi zinazofanywa na kitengo cha habari lakini pia ni njia nzuri ya wao kuitangaza Radio yetu ya City FM.






Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.