• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

"Mkafanye suluhu kwa amani na haki" - DC Mpogolo

Tarehe iliyowekwa: September 26th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, amewataka wajumbe wa mabaraza ya kata wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuhakikisha wanashirikiana na wananchi katika kusimamia maendeleo na kutatua changamoto kwa njia ya amani.

Akizungumza leo Septemba 26, 2025 wakati wa mafunzo na hafla ya kuwaapisha wajumbe wa mabaraza hayo iliyofanyika katika Ukumbi wa Shule ya Msingi Kisutu Jijini Dar es salaam

DC Mpogolo amesema wajumbe wanapaswa kuwa mfano wa mshikamano na mshauri sahihi kwa jamii zao.

“Mkafanye suluhu kwa amani. Ninyi ni viongozi wa karibu zaidi na wananchi, hivyo ni wajibu wenu kuhakikisha mnaweka umoja na mshikamano badala ya migongano isiyo ya lazima, kupitia Elimu mtakayopewa leo isiishie hapa tu hivyo mkaitumie kupunguza migogoro katika jamii na kata zetu." amesisitiza DC Mpogolo.

Sambamba na hilo amewataka wajumbe kuwa wasuluhishi na siyo waamuzi,kwani kwa mujibu wa Sheria ya Mahakama ya Migogoro ya Ardhi sura ya 216, mabaraza ya kata yanasikiliza Migogoro na kusuluhisha na ikishindikana Baraza litatoa hati ya kushindikana usuluhishi wa mgogoro kwa hatua zaidi.

Naye Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala Bi. Charagwa Sulemani amewataka wajumbe hao, kuwa wavumilivu na kutatua changamoto kwa hekima uadilifu katika kufanya suluhu kwa wananchi katika maeneo yao.

Katika hafla hiyo jumla ya wajumbe 288 kutoka kata 36 za Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wameapishwa rasmi na kula kiapo cha uadilifu. Wajumbe hao wameahidi kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Katiba, sheria na kanuni zinazoongoza uendeshaji wa Serikali za Mitaa.

Mabaraza ya Kata ni vyombo vilivyoundwa kwa mujibu wa kifungu cha 3 cha sheria ya mabaraza ya kata ya mwaka 1985, ambapo kila Baraza linajumuisha wajumbe wasiopungua wanne na wasiozidi wanane watakaochaguliwa na Kamati ya Kata kutoka miongoni mwa majina ya wakazi wa kata yaliorodheshwa kwa kuzingatia taratibu maalum uliowekwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS - MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II September 17, 2025
  • PRACTICAL INTERVIEW RESULTS - DEREVA DARAJA II September 15, 2025
  • PRACTICAL INTERVIEW RESULTS - MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 15, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa "High School" ya kisasa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam washika kasi

    September 27, 2025
  • "Mkafanye suluhu kwa amani na haki" - DC Mpogolo

    September 26, 2025
  • Mkurugenzi Jiji la DSM aahidi kuchangia ujenzi Shule ya Sekondari Jitegemee

    September 26, 2025
  • RC Chalamila azitaka Halmashauri za Mkoa wa DSM kuanzisha timu za mpira wa miguu

    September 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.