• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkurugenzi Jiji la DSM aahidi kuchangia ujenzi Shule ya Sekondari Jitegemee

Tarehe iliyowekwa: September 26th, 2025

Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Ndugu Elihuruma Mabelya ameahidi kuichangia Shule ya Sekondari Jitegemee kiasi cha Shilingi Milioni 5 na Kompyuta 3 ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya Sita katika kuboresha Mazingira ya ufundishaji katika Shule hiyo.

Mabelya ametoa ahadi hiyo katika mahafali ya 41 ya kidato cha nne yaliofanyika shuleni hapo leo Septemba 26,2025 ambapo jumla ya wahitimu 103 wa Shule hiyo wanatarajiwa kuhitimu kidato cha nne Novemba mwaka huu.

"Natarajia kuwa Wanafunzi hawa watakuwa mabalozi wazuri katika Jamii, kuonesha ufaulu wao kwa kuwa Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anaendelea kuboresha mazingira ya Elimu nchini, hivyo nawasihi sana mkadumishe nidhamu na kujituma katika masomo yenu". Alisema Mabelya.

Aidha, amewasisitiza wazazi kuhakikisha wanawapa watoto wao malezi bora yakayosababisha kupata elimu bora, viongozi watarajiwa na kuwahakikishia kuwa Serikali inaendelea kuboresha maslahi ya waalimu na miundombinu bora ya utendaji kazi wao ili kupata matokeo mazuri kwa wahitimu.

Kwa upande wake Makamu Mkuu wa Shule hiyo Luteni Kanali Mao Warioba amemuhakikishia Mkurugenzi huyo wa Jiji kuwa wahitimu hao wameandaliwa vyema ili kufanya mtihani wao unaotarajiwa kufanyika novemba mwaka huu pia hawana waswasi kuwa watafaulu kutokana na maandalizi mazuri.

Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam ni mmoja wa wanafunzi waliopata elimu ya Sekondari katika shule ya Sekondari ya Jitegemee.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI September 19, 2025
  • WRITTEN INTERVIEW RESULTS - MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II September 17, 2025
  • PRACTICAL INTERVIEW RESULTS - DEREVA DARAJA II September 15, 2025
  • PRACTICAL INTERVIEW RESULTS - MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 15, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa "High School" ya kisasa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam washika kasi

    September 27, 2025
  • "Mkafanye suluhu kwa amani na haki" - DC Mpogolo

    September 26, 2025
  • Mkurugenzi Jiji la DSM aahidi kuchangia ujenzi Shule ya Sekondari Jitegemee

    September 26, 2025
  • RC Chalamila azitaka Halmashauri za Mkoa wa DSM kuanzisha timu za mpira wa miguu

    September 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.