• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Ilala amaliza mgogoro wa mpaka Mtaa wa Ngobedi 'B'

Tarehe iliyowekwa: February 21st, 2022

Na: Amanzi Kimonjo & Judith Msuya

Mkuu wa Wilaya wa Ilala Mhe.Ng'wilabuzu Ndatwa Ludigija leo tarehe 21 february 2022 amefanya ziara ya kutembelea  Kata ya Zingiziwa  ambako Wilaya ya Ilala imepakana na Wilaya ya Kisarawe lengo likiwa ni kuweka sawa suala la Mipaka hiyo kwa wananchi wa eneo la Ngobedi 'B'.

Aidha katika ziara hiyo iliyohudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na wataalamu wa Mipango miji na ardhi wa Wilaya zote mbili waliweza kujiridhisha na kuazimia kua kutokana na mipaka ya nchi  eneo hilo la Ngobedi 'B' lipo Wilaya ya Kisarawe.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe.Ngw'ilabuzu Ludigija amesema "mgogoro huu umekua wa muda mrefu na sisi tumeukuta lakini kwa dhamira njema tumeona tuweke mambo sawa hivyo tumekaa na wataalamu wetu na wamejiridhisha kwamba eneo hili la  Ngobedi 'B' liko Wilaya ya Kisarawe, kwahiyo niwaombe sana wananchi, sisi wakuu wa wilaya hatubadilishi mipaka ya nchi, kazi yetu ni Utawala ili tuweze kuwahudumia wananchi vizuri hivyo mpaka kufikia wiki ijayo wataalamu wetu watakua washaainisha hiyo mipaka na hii itatusaidia zaidi kwenye suala zima la ulinzi na uslama hivyo niwaombeni sana, sisi wakuu wenu wa Wilaya tutaendelea kushirikiana ili muweze kufikiwa na huduma za  Kijamii."

Aidha ziara hiyo haikuishia hapo iliendelea katika Soko la Zingiziwa ambapo Mhe. Ludigija aliweza kuongea na wananchi wa soko hilo lengo likiwa ni kuwaelekeza na kuwakumbusha wote waliorudi kufanya biashara maeneo yasiyo rasmi warudi sokoni  kwani wakirudi sokoni itakua rahisi kufikiwa na huduma za kijamii.

Sambamba na hilo Mhe. Ludigija ametoa maelekezo kwa wafanyabiashara wote wanarudi kufanya biashara Maeneo yasiyo rasmi warudi sokoni kabla hawajachukuliwa hatua. "Kwanza napenda kumshukuru Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam kwa fedha alizotoa kwa ujenzi wa soko la zingiziwa hivyo niwaombe wananchi wote wa soko la Zingiziwa  wanarudi kufanya biashara maeneo ya barabarani warudi sokoni hivyo niwaombe sana tufanye biashara hapa sokoni bila kurudi barabarani tusingependa sisi Serikali kuumiza wananchi wetu kwakutumia nguvu hivyo tunawaomba mfanye biashara sokoni kwani fedha zinazotolewa kwaajili ya kujenga masoko zinatolewa kusudi wafanyabiashara wetu mfanye biashara sehemu rasmi na salama pia kama mnataka kujenda frame wenyewe muwasiliane na Kamati ya maendeleo ya Kata ya Zingiziwa ili mpatiwe ramani mjenge na mfanye biashara  zenu kwa uhakika zaidi." amesema Mhe. Ludigija.

Akiongea kwa niaba ya wananchi wa Kata ya Zingiziwa  Diwani wa Kata ya Zingiziwa Mhe. Maige Amesema "kwanza napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa Mkurugunzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kutupatia kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa soko letu la Zingiziwa hivyo niwaombe wananchi wa  Kata ya Zingiziwa kuwa wavumilivu kwani huduma za jamii zote zitatufikia na pia niwasihi tuendelee kubaki sokoni kwani ndiyo sehemu salama kwaajili ya kufanya biashara zetu kwa  kujipatia  kipato na kuiongezea Halmashauri yetu pato la ndani."

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.