• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mstahiki Meya Kumbilamoto aongoza Madiwani kutembelea mradi wa kuzalisha na kuhifadhi maji wa Kidunda, Morogoro

Tarehe iliyowekwa: May 30th, 2025

Na: Shalua Mpanda - Morogoro

Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Ssalaam Mhe. Omary Kumbilamoto ameongoza msafara wa Waheshimiwa Madiwani wa Jiji hili kufanya ziara ya mafunzo katika bwawa la kuzalisha na kuhifadhi maji la Kidunda lililopo mkoani Morogoro.

Wakiwa katika ziara hiyo iliyofanyika Mei 30, 2025, Madiwani hao wameweza kujionea shughuli mbalimbali za ujenzi zinazoendelea katika bwawa hilo ambalo mara baada ya kukamilika kwake mwakani litamaliza changamoto ya upatikanaji wa maji katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani.

Mhe. Kumbilamoto amesema ziara hiyo imekuwa na mafanikio makubwa kwao kama wawakilishi wa wananchi ambao wana jukumu la kutangaza miradi inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

"Tumekuja huku lengo letu ni moja tu kuona kwa macho yetu mambo haya makubwa yanayoganywa na Mheshimiwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ili na sisi tunaporudi kwa Wananchi tuwe na uhakika na kile tunachokisema". Alisema

Kwa upande wake msimamizi wa Mradi huo, Mhandisi Christian amesema zaidi ya kuzalisha maji bwawa hilo litakuwa na uwezo wa kuhifadhi maji ambayo yatasaidia uendeshaji wa mambo mwingine wa kuzalisha maji wa Ruvu hali ambayo itasaidia upatikanaji wa maji kwa kipindi cha mwaka mzima.

Ongezeko la wakazi katika mkoa wa Dar es salaam na Pwani limesababisha hali ya upatikanaji wa maji katika maeneo haya kuwa na changamoto ambapo inakadiriwa ifikapo mwaka 2032 idadi ya watu katika maeneo haya kufikia milioni 11 na kuhitaji lita za ujazo zaidi ya bilioni 1 kwa siku,hivyo Serikali inapambana kuhakikisha huduma ya maji safi na salama inawafikia wananchi kwa asilimia 100.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Mstahiki Meya Kumbilamoto aongoza Madiwani kutembelea mradi wa kuzalisha na kuhifadhi maji wa Kidunda, Morogoro

    May 30, 2025
  • RC Chalamila atoa wiki mbili kwa wafanyabiashara kufungua njia zinazoelekea Soko la Kariakoo

    May 28, 2025
  • "Wakandarasi wanaokwamisha miradi ya maendeleo wasifumbiwe macho" - Waziri Mchengerwa

    May 24, 2025
  • "Kakusanyeni mapato bila kumuonea mtu" - Mkurugezni Mabelya

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.