• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awataka Wajasiriamali kuwekeza kwenye Kilimo

Tarehe iliyowekwa: September 13th, 2023

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu amewataka wajasiriamali kuwekeza kwenye miradi ya kilimo kama sehemu ya ujasiriamali wao, hayo ameyabainisha leo wakati akifunga Maonesho ya siku tatu ya Wajasiriamali yaliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ilala chini ya Programu ya Imbeju.

Akiongea wakati wa Kufunga maonesho hayo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam Mhe. Zungu amesema “Niwashukuru sana CRDB Bank kwa mchango huu mkubwa wa kuendelea kuinua wajasiriamali ikiwa ni sehemu ya kuwapa vijana na wanawake ajira. Hivyo niwaombe Mikopo mnayoitoa iwe na riba ndogo ili kuzidi kuhamasisha wajasiriamali katika shughuli zao za kukuza uchumi wao na wananchi kwa ujumla. Pia nipende kutoa wito kwa wajasiriamali wote msiache kujihusisha na miradi ya kilimo kwa mikopo inayotolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na benki mbalimbali hivyo ni vyema mkajihusisha pia miradi hiyo ili kupata fursa zaidi ya hizi lzitakazo wakwamua Kiuchumi.”

Smbamba na hilo Mhe. Zungu ametoa agizo kuwa wagambo wote wakorofi wanaowaonea wafanyabiashara wakamatwe ili wananchi wawe na amani kwani amani ni dhana muhimu kwa kila Mtanzania wakawaida.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amesema “Jambo hili lilikua wazo na sasa limekua kweli hivyo niwashukuru sanaCRDB Bank kwa kukubali kushirikiana nasi kuwezesha maonesho haya hivyo kwaniaba ya Serikali niwashukuru wajasiriamali kwa kuitikia na kuonesha muamko mkubwa na ninaamini wakati mwingine tutaboresha maonesho haya ya endelevu kuwa bora zaidi ya hapa.”

Naye Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi. Fransisca Makoye ameeleza kuwa “Tukiwa na dhamana ya kusimamia wajasiriamali kama Idara tumeweza kufanya tathmini ya maonesho haya kuanzia tarehe 11 hadi leo hii tarehe 13 ambapo wajasiriamali waliweza kutoa maoni yao kuwa siku za maonesho haya ziongezwe kutoka siku tatu hadi saba huku zaidi ya asilimia 9% ya wahasiriamali waliweza kuelewa elimu waliyopewa juu ya mambo mbalimbali hivyo nizishukuru Taasisi zote zilizoungana nasi kwa siku tatu hizi kutoa elimu kwa wajasiriamali kwani wajasiriamali hawa wamepata fursa ya kutambulisha biashara zao na kupata fursa zaidi.”

Maonesho hayo ya siku tatu (tarehe 11-13 Septemba, 2023) yaliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya yamefanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam yakiwa na lengo la kutoa muamko kwa wajasiriamali ili waweze kuchangamkia fursa mbalimbali zinazopatikana baada ya kujiunga na majukwaa mbalimbali yanayoambatana na elimu ya ujasiriamali.

Matangazo

  • Bajeti ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 June 14, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - MTENDAJI WA MTAA (NAFASI 2) July 26, 2023
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili wa kuandika (Mtendaji wa Mtaa) September 19, 2023
  • TANGAZO DHIDI YA UTAPELI WA AJIRA July 20, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Naibu Katibu Mkuu Mativila asisitiza ujenzi wa miundombinu bora Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

    September 22, 2023
  • Mstahiki Meya Halmashauri ya Jiji la DSM Afungua Ofisi ya Mtaa wa Mwanagati

    September 21, 2023
  • Kamati ya Lishe Halmashauri ya Jiji la DSM yafanya Kikao cha kujadili taarifa za utekelezaji wa kazi za Lishe kwa Kipindi cha Robo ya Nne

    September 19, 2023
  • Huduma za Kibiashara kuwafikia wafanyabiashara walipo

    September 18, 2023
  • Angalia zote

Video

NAPA
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 2128800

    Namba ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.