• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

RC Makonda: Matumizi ya TEHAMA Mwarobaini wa utatatuzi malalamiko ya wananchi Dar

Tarehe iliyowekwa: October 9th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Paul Makonda ameeleza kwamba matumizi ya rasilimali za Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) yatakua ni mwarobaini wa kutatua kero na malalamiko mbalimbali ya wananchi jijini Dar es Salaam.

Makonda ameeleza hayo leo, Oktoba 9, 2019 katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam wakati akizindua Mfumo wa kupokea na kushughulikia kero na malalamiko ya wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam.

RC Makonda aliendelea kueleza kwamba ameamua kuanzisha mfumo huo baada ya kubaini kuwa wananchi wengi jijini Dar es Salaam wanapoteza muda na gharama nyingi ili kuweza kufika katika ofisi za umma kuwasilisha malalamiko yao na katika ufuatiliaji wa malalamiko waliyowasilisha.

Aidha RC Makonda amebainisha kuwa mfumo huo utakuwa ukipokea taarifa za malalamiko ya wananchi na watumishi husika kuweza kuyafanyia kazi malalamiko yaliyowasilishwa kwa wakati, ikiwa ni pamoja na kuwezesha kufanya ufuatiliaji na kujua kila hatua iliyofikiwa tangu malalamiko yalipo sajiliwa mpaka ufumbuzi ulipopatikana na hivyo kuongeza uwazi na uwajibikaji kwa watendaji katika ngazi zote.

“Mfumo huu unawawezesha viongozi kuona hatua mbalimbali za malalamiko kadri yanavyo fanyiwa kazi na kutoa ushauri ipasavyo ikiwa ni pamoja na kupata taarifa kwa nyakati tofauti tofauti kadri zitakavyo hitajika”, alieleza RC Makonda.

Hata hivyo RC Makonda amewahimiza wananchi kutumia mfumo huo unaopatikana kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu "SMS", Tovuti "Web address" na Mobile App na kuweza kuwasilisha malalamiko yao katika sekta tofauti tofauti ikiwemo Afya, Barabara, Elimu, Maji, Umeme na pia uwasilishaji wa taarifa za Miradi inayokwama pamoja na kutoa taarifa pindi wanapobaini uhalifu kwenye maeneo yao ya Mitaa.

Wananchi na wadau mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam wanaweza kuwasilisha malalamiko yao kwa kupitia ujumbe mfupi wa simu za mkoanoni kwa kuandika neno DSM 11000 kisha maelezo ya malalamiko/changamoto na kutuma kwenda namba 15200 au kwa kuingia kwenye tovuti kwa kupitia anuani; www.malalamiko.dsm.go.tz na ujumbe wao utapokelewa mara moja na kupewa namba ya lalamiko husika kwa ajili ya ufuatiiaji.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.