• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Taasisi ya Kumbilamoto Foundation yatoa bima ya afya kwa wananchi 114 bure

Tarehe iliyowekwa: June 3rd, 2024

Taasisi ya Kumbilamoto Foundation imegawa bima za afya bure kwa kaya 19 zenye jumla ya watu 114 katika kata ya Vingunguti Wilayani Ilala zenye thamani ya shilingi milioni mbili laki nane na eflu hamsini (tsh. 2,850,000) ambazo zitawasaidia wananchi hao kupata huduma za matibabu bure katika hospitali na vituo vya afya nchini.

Akizungumza mara baada ya hafla hiyo iliyofanyika kwenye Zahanati ya Vingunguti Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya a Ilala Alhaj Said Side amesema mtaji wa mwanadamu yeyote ni afya hivyo Taasisi ya Kumbilamoto Foundation imejali afya za wananchi wa Vingunguti ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwaza na kutekeleza jambo hili na linapaswa kuigwa na taasisi nyingine.

"Kadi ya Bima ya afya ni muhimu unaweza ukaitumia kupata matibabu mpaka ya shilingi 700,000 au milioni  kwa ajii ya vipimo peke yake hivyo wananchi wana umuhimu wa kukata bima ya afya tunaishukuru na Taasisi ya Kumbilamoto Foundation kwa kujali wananchi wa kata ya Vingunguti" amesema Sidde.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Mhe. Omary Kumbilamoto amesema Kumbilamoto Foundation imeanzishwa mwaka 2021 na kusajiliwa mwaka 2022 na inatoa huduma za kijamii sehemu zote nchini ikiwemo kuchimba visima na kusaidia makundi maalum wakiwemo Wazee Wajane na Vijana  ili kuondoa changamoto zao.

Aidha, Mhe. Kumbilamoto ameongeza kuwa miaka mitatu ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan nchi yetu imepata mambo makubwa ya maendeleo ambapo alitumia fursa hiyo kumpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam Jomaary Mrisho Satura na Mbunge wa Segerea Mhe. Bonnah Ladslaus Kamoli kwa kufanya mambo makubwa ya maendeleo Kata ya Vingunguti na jimbo la Segerea kwa ujumla .

Nae Katibu wa Taasisi ya Kumbilamoto Foundation Alex Buberwa alisema alisema taasisi hiyo imejikita zaidi kusaidia jamii na leo hii wametoa bima za afya kwa wananchi 114 waliopo kwenye mitaa sita ya Vingunguti ikiwemo Mtakuja, Majengo Mtambani, Butiama, Miembeni na Kombo lengo kuu likiwa ni kuwasaidia wananchi wa maeneo hayo waweze kuzitumia kadi hizo katika huduma ya afya.

Nae Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Vingunguti Dkt. Isack Makundu amesema kwa sasa Zahanati ya Vingunguti inatoa huduma masaa 24 baadhi ya huduma hizo ni Kinywa na Meno, Tiba ya mionzi (Utrasound ), Wodi ya Wazazi kwa ajili ya kuzalisha, kiliniki ya Baba Mama na Mtoto, TB na Ukoma ,Upasuaji mdogo pamoja na matibabu ya wagonjwa wa nje.

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.