• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Dar es Salaam City Council
Dar es Salaam City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Jiji
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha, Utawala na Utumishi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Udhibiti Taka
      • Mipangomiji, Mazingira na Usafirishaji
      • Afya na Huduma za Tiba
    • Vitengo
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Sheria na Usalama
      • Itifaki, Uhusiano na Umma
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Shughuli za Utalii
      • Dar es Salaam Yetu
      • Misitu na Mashamba ya wanyama wafugwao
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
      • Maeneo ya kupumzika, bustani na viwanja vya michezo
      • Maeneo ya Manunuzi
      • Majengo na maeneo ya kihistoria
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
    • Urejelezaji wa Taka Ngumu
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Pikipiki
    • Vibali vya Maegesho ya Teksi
    • Vibali vya Kuingiza Magari ya Mizigo
    • Vituo Vikuu vya Mabasi
    • Udhibiti Taka Ngumu
    • Taarifa za Historia ya Viwanja
    • Mazishi ya miili ya marehemu wasiokuwa na ndugu
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipangomiji, Mazingira na Miundombinu
      • Kamati ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
    • Mameya Wazamani wa Jiji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi Inayoendelea
    • Vitega Uchumi vya Jiji
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Sera
    • Miongozo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Fomu za Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio

Vikundi vya Wajasiriamali Ilala vyapewa semina ya mafunzo juu ya umuhimu na matumizi ya mfumo wa Msimbomilia (Barcode)

Tarehe iliyowekwa: March 9th, 2023

Mkuu wa Wilaya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewahakikisha Wajasiriamali Wilaya ya Ilala kuwapa ushirikiano pale wanapohitaji ili kukuza Masoko ya Wajasiriamali hao.

Amebainisha hayo leo Machi 09, 2023 wakati akifungua Semina ya Mpango wa Mafunzo ya Ujasiriamali kwa ngazi ya Halmashauri iliyofanyika katika Ukumbi wa Arnatoglou Jijini Dar es Salaam, Semina hiyo iliwezeshwa na taasisi mbalimbali za Serikali ikiwemo TRA, TIRDO, TCCIA, BRELLA, TANTRADE na TBS.

Akifungua mafunzo hayo Mhe.Mpogolo Amesema “Mafunzo haya ni adhimu sana kwa wajasiriamali kwani suku hii ya leo watapata mafunzo haya yenye lengo la kuwajengea uwezo wa kutafuta Masoko baada ya kuweka bidhaa zao Barcodes ambayo itawasaidia kuuza bidhaa hizo kwenye masoko rasmi hivyo niwaombe Wajasiriamali msikilize kwa makini na muende mkaishi haya yote mnayoelekezwa.”

Kwa upande mwingine Mhe. Mpogolo aliweza kuzindua kampeni ya GS1 Tanzania Barcode day itakayoanza June 15-19, 2023 yenye kauli mbiu isemayo ‘GS1Tanzania beyond Barcode’ ambapo aliweza kuwasisitiza wajasiriamali kujitokeza kwa wingi, “Ili kuwakomboa kina mama lazima kina mama muungane na mimi niwahakikishieni kwenye hiyo kampeni ya Kata kwa Kata nitakuwepo kwani tutafanya kwa niaba ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan ambaye nia yake ni kuwakomboa wananchi kiuchumi hususani Wanawake hivyo nawapongeza GS1 na timu nzima kwa kampeni hizi naamini kila Mjasiriamali wa Wilaya ya Ilala atanufaika na fursa hii.”

Naye Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Jiji la Dar es Salam Bi. Tabu Shaibu awashukuru GS1 kuandaa semina ya mafunzo kwa Wajasiriamali ambayo itawasaidia kupata uelewa jinsi ya kuboresha bidhaa zao ili ziwe na viwango na ubora na kuweza kukidhi Soko la ushindani ambapo zitaweza kukuwa na kufikia Soko la kimataifa.

Aidha, kwa upande wake mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Halmshauri ya Jiji la Dar es Salaam Bi. Tabu Shaibu amemuhakikishia Mkuu wa Wilya kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia Kitengo chake cha Maendeleo ya Jamii iko tayari kuyafanyia kazi yale yote yaliyoelekezwa kwenye semina hiyo ili kuinua Wajasiriamali hao.Pia awataka Wajasiriamali kusikiliza kwa makini semina hiyo ya mafunzo ili kutoka na uelewa jinsi gani ya kuboresha bidhaa zao.

Naye Afisa Mtendaji Mkuu wa GS1 Bi. Kange Ameeleza kuwa “Baada ya Wajasiriamali kuonekana wanazalisha bidhaa bora lakini hazina msimbomilia(BARCODE) Ofisi ya Rais TAMISEMI wakaona ni vyema kutoa kibali kwa Taasisi ya GS1 ambao ndio hutengeneza Barcodes kuandaa mafunzo katika kila Halmashauri nchini ya kuwafundisha Wajasiriamali umuhimu wa Barcodes ambapo kila Halmshauri iliweza kuingia makubaliano ya mafunzo hayo kwa kuchangia Shilingi Milioni 5 zakuwezesha mafunzo hayo hivyo mafunzo haya ya kuwajengea uwezo Wajasiriamali juu ya umuhimu na matumizi ya msimbomilia (BARCODES) yameanza kufanyika leo kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambapo vikundi Vitano (5) Vitaweza kuchaguliwa."

Sambamba na hilo Bi. Kange ameeleza kuwa baada ya mafunzo wataweza kuwasaidia wafanyabiashara kutafuta masoko kwani kuna masoko Canada na Marekani ila masoko haya yatahudhuriwa na vikundi ambavyo vitaweza kukidhi vigezo na pia vitakavyotengeneza bidhaa bora na zenye viwango

Aidha Bi.Kange ameendelea kusema “Sisi kama wajasiriamali tuhakikishe tunatengeneza bidhaa kwa kiwango na pia tunaweka mifumo kupitia Maafisa Maendeleo wa Halmashauri ya Jijj la Dar es Salaam huku tukipanga kiwango cha pamoja cha kuuza bidhaa zetu hivyo niwasisitize mtengeneze kurasa za mitandao ya kijamii kwaajili ya kutafuta masoko rasmi.”

Vilevile Bi.Kange amshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kufungua mipaka ambayo ni fursa kwa wananchi wa Tanzania, “Naamini sisi kama wajasiriamali tutatumia fursa hii ya mheshimiwa Rais wetu hivyo sisi GS1 tutashirikiana na wajasiriamali kupata masoko nje ya nchi ya Tanzania hivyo tutahakikisha tunawaelekeza namna ya kutengenezea kurasa katika mitandao ya kijamii na namna gani mnaweza kupata masoko.”

Matangazo

  • TAARIFA KWA UMMA February 19, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA - MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA January 17, 2025
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2024 January 04, 2025
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025 December 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • "Tutahakikisha tunasimamia Kata 36 na Mitaa 159 ili Jiji la DSM liwe safi" - DC Mpogolo

    May 03, 2025
  • Jiji La DSM laweka mikakati kushinda UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa

    April 29, 2025
  • Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waadhimisha Muungano kwa kupanda miti na kufanya usafi wa mazingira

    April 26, 2025
  • Zoezi la usafi wa mwisho wa wiki laendelea

    April 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Msimbazi Basin Development Project Implementation Area
Video Zingine

Viunganishi vya Haraka

  • Mameya wa zamani wa Jiji
  • Vibali vya kuingia na Pikipiki katikati ya Jiji
  • Udhibiti wa Taka ngumu Jijini
  • Eneo Maalum la Usafi Jijini
  • Kituo cha Urithi wa Ubunifu Majengo na Utalii
  • Uwanda wa Bahari, Fukwe na Visiwa
  • Sehemu za Kitamaduni, Ngoma za Asili na Sanaa za Mikono
  • Majengo na Maeneo ya Kihistoria
  • Maeneo ya Kupumzika, Bustani na Viwanja vya Michezo

Viunganishi Linganifu

  • BUNGE
  • Blogu ya Jiji
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • TAMISEMI
  • IDARA YA HABARI MAELEZO

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    1 BARABARA YA MOROGORO 11882 DAR ES SALAAM

    Anuani ya Posta: S.L.P 20950

    Simu ya mezani: 0738 378 386

    Namba ya Mkononi: 0738 378 386

    Barua Pepe: info@dcc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Haki Zote Zimehifadhiwa.